Hakuna aliyeweza kujibu hoja ya Zitto Kabwe

Hakuna aliyeweza kujibu hoja ya Zitto Kabwe

naninibaraka

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2011
Posts
910
Reaction score
669
Mpaka sasa sijaona aliyeweza kujibu hoja ya Zitto Kabwe juu ya upotezu wa 1.5trilion zaid ya kumbeza, hii hoja ya upotevu wa 1.5trillion ni hoja ya kitaalamu Audit report ni ya Controllera and Audit General!

Inashangaza kwamba mpaka CAG anandaa final draft ya report serikali ilishindwa kueleza zilipo pesa za watz ni aibu na ni ufisadi wa hali ya juu tokea nchi hii ipate uhuru, kwa hali hii maisha ya watanzania yanaachaje kuwa magumu?

Hili jambo si la kisiasa hata kdg, ni swala linalogusa maisha ya kila mtanzania, wanaotetea huu ujinga ni watu wanaolinda nafasi zao na wanufaika wa huu mfumo mbovu wa serikali!

Tuache siasa, serikali ituambie 1.5 trillion za watanzania zimekwenda wapi?
 
TUNAWEZA KUWA NA HOJA YA MSINGI SANA KUHOJI JUU YA HIZI PESA ILA TUNAKOSEA KUMNYOOSHEA MAGUFULI YA KWAMBA HIZI PESA kaweka mfukoni mwake hapa tu ndipo tunapokosea.....And what if ikithibitika hizi pesa HAZIJAFANYIWA MCHEZO BWOWOTE MCHAFU kama WENZETU upinzani WANAVYOTUMIA NGUVU NYINGI kutuaminisha hivyo???
 
Tatizo watu wanamihemuko inayo angalia maslahi ya kisiasa badala ya maslahi ya maendeleo ya taifa ...

Napata wasiwasi sana na uzalendo wa mtu pale anapojaribu kutetea huu upotevu wa pesa zote hizi...

Ikumbukwe CAG kafanya kazi kwa mujibu wa taaluma na sio kwa mujibu wa sera za chama fulani ...

Acheni mzaha jamani lorry tulilopanda linayumba sana na tanki la Mafuta limetoboka matairi hayana upepo ajali kubwa ipo mbele yet au tutakwama safari yetu ...

Dereva a.k.a Malaika Jiwe kaelemewa dhahiri ngoma imemshinda twafaaa ...
 
Mpaka sasa sijaona aliyeweza kujibu hoja ya zitto kabwe juu ya upotezu wa 1.5trilion zaid ya kumbeza, hii hoja ya upotevu wa 1.5trillion ni hoja ya kitaalamu Audit report ni ya Controllera and Audit General!

Inashangaza kwamba mpaka CAG anandaa final draft ya report serikali ilishindwa kueleza zilipo pesa za watz ni aibu na ni ufisadi wa hali ya juu tokea nchi hii ipate uhuru, kwa hali hii maisha ya watanzania yanaachaje kuwa magumu?

Hili jambo si la kisiasa hata kdg, ni swala linalogusa maisha ya kila mtanzania, wanaotetea huu ujinga ni watu wanaolinda nafasi zao na wanufaika wa huu mfumo mbovu wa serikali!

Tuache siasa, serikali ituambie 1.5 trillion za watanzania zimekwenda wapi?
Majibu yamekwisha tolewa na Kafulila na Polepole. Kwa kuwa wewe na wenzio ni robot mtaendelea kuulizia mpaka mje kuwekewa CD nyingine. Hilo tunalijua karibu CD itaanza ku scratch
 
TUNAWEZA KUWA NA HOJA YA MSINGI SANA KUHOJI JUU YA HIZI PESA ILA TUNAKOSEA KUMNYOOSHEA MAGUFULI YA KWAMBA HIZI PESA kaweka mfukoni mwake hapa tu ndipo tunapokosea.....And what if ikithibitika hizi pesa HAZIJAFANYIWA MCHEZO BWOWOTE MCHAFU kama WENZETU upinzani WANAVYOTUMIA NGUVU NYINGI kutuaminisha hivyo???
Swali la Msingi ziko wapi na kwann walipopewa siku 21 walishindwa kutoa Majibu kwa CAG?
 
TUNAWEZA KUWA NA HOJA YA MSINGI SANA KUHOJI JUU YA HIZI PESA ILA TUNAKOSEA KUMNYOOSHEA MAGUFULI YA KWAMBA HIZI PESA kaweka mfukoni mwake hapa tu ndipo tunapokosea.....And what if ikithibitika hizi pesa HAZIJAFANYIWA MCHEZO BWOWOTE MCHAFU kama WENZETU upinzani WANAVYOTUMIA NGUVU NYINGI kutuaminisha hivyo???

Sioni ubaya wa hili, yeye ndio Rais wa nchi na serikali na serikali ndio imekaguliwa, nadhani ni sawa kuulizwa. Lakini asituhumiwe.
 
TUNAWEZA KUWA NA HOJA YA MSINGI SANA KUHOJI JUU YA HIZI PESA ILA TUNAKOSEA KUMNYOOSHEA MAGUFULI YA KWAMBA HIZI PESA kaweka mfukoni mwake hapa tu ndipo tunapokosea.....And what if ikithibitika hizi pesa HAZIJAFANYIWA MCHEZO BWOWOTE MCHAFU kama WENZETU upinzani WANAVYOTUMIA NGUVU NYINGI kutuaminisha hivyo???

Riport ya CAG imeonesha matumizi ya pesa hizo hayajahainishwa au hayajulikani(hayajaandikwa) sasa tuseme zimepotea? Ndio maana ikatumika lugha rahisi tu kwamba hazijulikani zililpo kikubwa. Serikali ilitakiwa kuonesha zimetumikaje hiyo ndio namna pekee ya kujitoa kwenye hili ikishindikana basi ikubali tu jumba bovu limeihangukia Serikali ya MHESHIMIWA.
 
Mpaka sasa sijaona aliyeweza kujibu hoja ya Zitto Kabwe juu ya upotezu wa 1.5trilion zaid ya kumbeza, hii hoja ya upotevu wa 1.5trillion ni hoja ya kitaalamu Audit report ni ya Controllera and Audit General!

Inashangaza kwamba mpaka CAG anandaa final draft ya report serikali ilishindwa kueleza zilipo pesa za watz ni aibu na ni ufisadi wa hali ya juu tokea nchi hii ipate uhuru, kwa hali hii maisha ya watanzania yanaachaje kuwa magumu?

Hili jambo si la kisiasa hata kdg, ni swala linalogusa maisha ya kila mtanzania, wanaotetea huu ujinga ni watu wanaolinda nafasi zao na wanufaika wa huu mfumo mbovu wa serikali!

Tuache siasa, serikali ituambie 1.5 trillion za watanzania zimekwenda wapi?
Hutaki tu kuamini majibu yaliyotolewa, sasa kunakuwa hamna jinsi. Hebu angalia hii comment hapo chini.
Tatizo watu wanamihemuko inayo angalia maslahi ya kisiasa badala ya maslahi ya maendeleo ya taifa ...

Napata wasiwasi sana na uzalendo wa mtu pale anapojaribu kutetea huu upotevu wa pesa zote hizi...

Ikumbukwe CAG kafanya kazi kwa mujibu wa taaluma na sio kwa mujibu wa sera za chama fulani ...

Acheni mzaha jamani lorry tulilopanda linayumba sana na tanki la Mafuta limetoboka matairi hayana upepo ajali kubwa ipo mbele yet au tutakwama safari yetu ...

Dereva a.k.a Malaika Jiwe kaelemewa dhahiri ngoma imemshinda twafaaa ...
Sasa huyu mtu hata ukimjibu si atakutukana tu?
 
TUNAWEZA KUWA NA HOJA YA MSINGI SANA KUHOJI JUU YA HIZI PESA ILA TUNAKOSEA KUMNYOOSHEA MAGUFULI YA KWAMBA HIZI PESA kaweka mfukoni mwake hapa tu ndipo tunapokosea.....And what if ikithibitika hizi pesa HAZIJAFANYIWA MCHEZO BWOWOTE MCHAFU kama WENZETU upinzani WANAVYOTUMIA NGUVU NYINGI kutuaminisha hivyo???
umechelewa! taarfa zimeishavuja hela ziko kwenye acc. maalum chini ya Magu na ndugu yake wa hazina
 
MAZWAZWA Mkuu unategemea wana la kujibu!? Wameishia kujikanyaga kanyaga tu na povu zito.

Mpaka sasa sijaona aliyeweza kujibu hoja ya Zitto Kabwe juu ya upotezu wa 1.5trilion zaid ya kumbeza, hii hoja ya upotevu wa 1.5trillion ni hoja ya kitaalamu Audit report ni ya Controllera and Audit General!

Inashangaza kwamba mpaka CAG anandaa final draft ya report serikali ilishindwa kueleza zilipo pesa za watz ni aibu na ni ufisadi wa hali ya juu tokea nchi hii ipate uhuru, kwa hali hii maisha ya watanzania yanaachaje kuwa magumu?

Hili jambo si la kisiasa hata kdg, ni swala linalogusa maisha ya kila mtanzania, wanaotetea huu ujinga ni watu wanaolinda nafasi zao na wanufaika wa huu mfumo mbovu wa serikali!

Tuache siasa, serikali ituambie 1.5 trillion za watanzania zimekwenda wapi?
 
Back
Top Bottom