Hakikisha Unaoa bikra

Hakikisha Unaoa bikra

D9A5F4A5-4BBB-4474-A233-A935AFA82A49.webp
 
Upo sahihi mkuu. Kigezo cha mwanamke wa kuoa kwanza ni Bikra, kisha akili upstairs, tatu maadili na familia alipotokea kisha uzuri ndio ufuate. Nikipata wa sifa hizo nipo tayari kuoa.

Hata wao wana vigezo vyao. Ila tukiweka vyetu wanatukana, tuwapuuze.
 
  • Thanks
Reactions: Nus
Mtoto wa kike unataka kuolewa na Mwanaume tajiri.
Bahati mbaya huna elimu, huna pesa, unatokea familia ya kimaskini, huna Shughuli ya kukuingizia kipato wala ajira.

Basi kitakacho kuokoa ni bikira na uzuri pekee yake.

Usipokuwa na hivyo sahau kuwa na mwanaume tajiri.
Ila kweli unaoa mtu Hana kitu chochote cha thamani ila yeye anataka aje kutafuna ma hela yako tu
 
Back
Top Bottom