Bei Rahisi Stationary
Member
- Jul 28, 2026
- 45
- 105
Ili awe mke wako kwani ni wewe umeanza. Umefungua njia mwenyewe.Mtoto wa kike unataka kuolewa na Mwanaume tajiri.
Bahati mbaya huna elimu, huna pesa, unatokea familia ya kimaskini, huna Shughuli ya kukuingizia kipato wala ajira.
Basi kitakacho kuokoa ni bikira na uzuri pekee yake.
Usipokuwa na hivyo sahau kuwa na mwanaume tajiri.
😅Bikra ya nyokooooView attachment 3663950
😁😴😬😫😘🤩🤣😞🙄😄😆😍😊🥰😢Kwahiyo huu uzi unawalenga kina haswaa humu jukwaani!
Hivi,bado mahitaji muhimu kwa binadamu ni bikra?Dah!Kazi imekua kazi nzito.Mtoto wa kike unataka kuolewa na Mwanaume tajiri.
Bahati mbaya huna elimu, huna pesa, unatokea familia ya kimaskini, huna Shughuli ya kukuingizia kipato wala ajira.
Basi kitakacho kuokoa ni bikira na uzuri pekee yake.
Usipokuwa na hivyo sahau kuwa na mwanaume tajiri.
Bikira ya wapiMbona kuna wanawake wa kipemba wengi tu ni bikra lakini hawajaolewa na matajiri
Matajiri na bikraKwahiyo huu uzi unawalenga kina nani haswaa! humu jukwaani!
Machokoraa wa kutosha🫡The irony ni kwamba humu kuna kinyume cha hao
Hatari ila wapo.99 asilimia ya akina KE wa JF ni sealed.Niamini tuTrust me!The irony ni kwamba humu kuna kinyume cha hao
Kila mtu ashinde mechi zake 🙌Machokoraa wa kutosha🫡
Ukiangalia miandiko yao kwa umakini utang'amua hilo bila shaka.Trust me!Trust you! That's a topic for another day, sasa wewe umejuaje kama wapo sealed mkuu!
Kabisaa!Kila mtu ashinde mechi zake 🙌
Uliwapima vipo mkuu😀Hatari ila wapo.99 asilimia ya akina KE wa JF ni sealed.Niamini tuTrust me!
Ambao bado hawajaoa na kuolewa na inawezekana baadae wakawa wanandoa.Kwahiyo huu uzi unawalenga kina nani haswaa! humu jukwaani!