DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,011
- 45,528
Kijana kabla haujatumia hela yako kuiingiza katika biashara hakikisha unaipitisha bank .
Bank kuna upako mkubwa Sana pitisha hela yako sehemu ambayo matajiri wanapitisha .
Pia hakikisha nyumba unayoishi amka ukiwa mtu Wa kwanza maana baraka za Ahsubui utazipata wewe ukiwa Wa kwanza unaweza kuamka then ukarudi kulala.
NB hayo ni mambo ya kiroho zaidi sio rahisi uyaelewe Kwa kutumia Akili.
Bank kuna upako mkubwa Sana pitisha hela yako sehemu ambayo matajiri wanapitisha .
Pia hakikisha nyumba unayoishi amka ukiwa mtu Wa kwanza maana baraka za Ahsubui utazipata wewe ukiwa Wa kwanza unaweza kuamka then ukarudi kulala.
NB hayo ni mambo ya kiroho zaidi sio rahisi uyaelewe Kwa kutumia Akili.