Hakikisha umetongozwa

Hakikisha umetongozwa

marrykate

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2012
Posts
733
Reaction score
443
ewe mdada/mkaka hakikisha umetongozwa kwanza kabla ya kuanza mahusiano yakimapenzi na mtu yeyote.

ile stail yakuzoeana tu na mkajikuta mnafanya mambo wanayotakiwa kufanya wapenzi itakutokea puani, pale utakapoanza kufikia future na mtu kumbe walaaaaa hajui kama wewe nimpenz i wake,
 
mtu anaweza akakutongoza tena ukakubali kwa mbinde lakini kumbe hakutambui kama ni mpenz wake. Siri ya moyo, akishagonga ikulu utaanza kushangaa mwenyewe
 
ewe mdada/mkaka hakikisha umetongozwa kwanza kabla ya kuanza mahusiano yakimapenzi na mtu yeyote.

ile stail yakuzoeana tu na mkajikuta mnafanya mambo wanayotakiwa kufanya wapenzi itakutokea puani, pale utakapoanza kufikia future na mtu kumbe walaaaaa hajui kama wewe nimpenz i wake,

we umetongozwa?
 
mtu anaweza akakutongoza tena ukakubali kwa mbinde lakini kumbe hakutambui kama ni mpenz wake. Siri ya moyo, akishagonga ikulu utaanza kushangaa mwenyewe

at least hiyo ulitongozwa ukakubali kuanza mahusiano,kudanganywa kupo sana tu , ila hujatongozwa kutwa kumuita mtu hubby/wife shaaaa hayo majina unayatoa wapi kwani kasema anataka uwe mme/mke wake si hisia tu hizo
 
at least hiyo ulitongozwa ukakubali kuanza mahusiano,kudanganywa kupo sana tu , ila hujatongozwa kutwa kumuita mtu hubby/wife shaaaa hayo majina unayatoa wapi kwani kasema anataka uwe mme/mke wake si hisia tu hizo

hapa ni 50/50, wengne hawatongozani wanazoeana na finally wanajkuta ktk mahusiano. Yanadumu kuliko hata waliotongozana. Mfano mimi mwenyewe
 
ewe mdada/mkaka hakikisha umetongozwa kwanza kabla ya kuanza mahusiano yakimapenzi na mtu yeyote.

ile stail yakuzoeana tu na mkajikuta mnafanya mambo wanayotakiwa kufanya wapenzi itakutokea puani, pale utakapoanza kufikia future na mtu kumbe walaaaaa hajui kama wewe nimpenz i wake,

wewe una umri gani? kama kujieleza hapa ukaeleweka hujui ndio sembuse ujuwe kutongoza? achilia mbali kutombaa.
 
ewe mdada/mkaka hakikisha umetongozwa kwanza kabla ya kuanza mahusiano yakimapenzi na mtu yeyote.

ile stail yakuzoeana tu na mkajikuta mnafanya mambo wanayotakiwa kufanya wapenzi itakutokea puani, pale utakapoanza kufikia future na mtu kumbe walaaaaa hajui kama wewe nimpenz i wake,

Haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah...
 
hizo zakutokutongozana ndio nzuri maana ukishamega tunda bidada anaanza kuuliza so wat r we ...wee hapo kidume ndio unampa ukweli we just sexmates....the look on her face is priceless
 
kwanza muulize anajuwa maana ya kutongoza? from no where tu mtu akuvulie chupi? hii ni thread

hujawahi ona, upo na mtu more than a year na hajawahi kukutongoza na unavua chupi kila siku baadae ukiachwa unaanza kumlaimu kwa lipi hass hata anniversary ya mapenzi yenu huijui
 
kwanza muulize anajuwa maana ya kutongoza? from no where tu mtu akuvulie chupi? hii ni thread

hujawahi ona, upo na mtu more than a year na hajawahi kukutongoza na unavua chupi kila siku baadae ukiachwa unaanza kumlaimu kwa lipi hass hata anniversary ya mapenzi yenu huijui

kwahiyo ulijipeleka mwenyewe machinjioni bila yeye kukushawishi kama yuko interested na wewe?
 
ewe mdada/mkaka hakikisha umetongozwa kwanza kabla ya kuanza mahusiano yakimapenzi na mtu yeyote.

ile stail yakuzoeana tu na mkajikuta mnafanya mambo wanayotakiwa kufanya wapenzi itakutokea puani, pale utakapoanza kufikia future na mtu kumbe walaaaaa hajui kama wewe nimpenz i wake,

What about one night stand? Nazo lazima mdada atongozwe?
 
tena kwa kuongezea,kutongozwa kwa maneno,kama mtu hajatamka unajifanya na wewe hujaelewa somo
 
Back
Top Bottom