Hakika Watumishi tumedhalilishwa

Hakika Watumishi tumedhalilishwa

josephwaara

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2016
Posts
304
Reaction score
640
Promo zote zile, mbwembwe zote mlivyotuuzisha sura kwa wananchi, tunawaeleza nini ndg zetu waamini tumeongezwa elfu 30???

Binafsi sijashangaa maana sijawahi kuwa na imani na yule mnyiramba, ana kiburi kweli kweli na mbaya zaidi ni kipenzi cha maza.

Tutalipiza huko makazini.
 
Jambo letu limetimia, wahuni mnataka kupotosha.
 

Attachments

  • 0B6CC3D7-C330-4C86-98D9-6661ED817FD0.jpeg
    0B6CC3D7-C330-4C86-98D9-6661ED817FD0.jpeg
    63 KB · Views: 10
Promo zote zile, mbwembwe zote mlivyotuuzisha sura kwa wananchi, tunawaeleza nini ndg zetu waamini tumeongezwa elfu 30???

Binafsi sijashangaa maana sijawahi kuwa na imani na yule mnyiramba, ana kiburi kweli kweli na mbaya zaidi ni kipenzi cha maza.

Tutalipiza huko makazini.
Uzalendo pembeni... Zikikaa vibaya ni kukwapua tu... No way.!!!
 
Hamjadhalilishwa ndg watumishi, tulieni hivyo hivyo na bado kuna muda mwingi huko mbele, mlikuwa kati ya kundi lililoshangilia kwa kusema anaupiga mwingi, leo kuna nini?.
 
Promo zote zile, mbwembwe zote mlivyotuuzisha sura kwa wananchi, tunawaeleza nini ndg zetu waamini tumeongezwa elfu 30???

Binafsi sijashangaa maana sijawahi kuwa na imani na yule mnyiramba, ana kiburi kweli kweli na mbaya zaidi ni kipenzi cha maza.

Tutalipiza huko makazini.
Na alivyokuwa mjanja anaichukua tena hiyo aliyoiongeza kupitia tozo ya miamala ya bank
 
Acheni kulialia, tunawasubiri huku mtaani tupandishe kodi za nyumba….. mishahara si imepanda bhana.!
Na waliyataka wenyewe. Mei Mosi Serikali ilitangaza ongezeko lakini haikusema kwa kiwango gani kwa lengo la kudhibiti mfumuko wa bei. Wazenji walipotangaziwa % ya ongezeko la kima chini nao wakaishinikiza Serikali iwatangazie. Wametangaziwa % ya ongezeko kwa kima cha chini wanaweka matumaini kwa % isiyowahusu.
 
Sio watumishi tu ata wakulima na wafanya biashara hii inatuhusu , tulitegemea mtaongezewa pakubwa ili nasisi tunufaike so sad.
 
Promo zote zile, mbwembwe zote mlivyotuuzisha sura kwa wananchi, tunawaeleza nini ndg zetu waamini tumeongezwa elfu 30???

Binafsi sijashangaa maana sijawahi kuwa na imani na yule mnyiramba, ana kiburi kweli kweli na mbaya zaidi ni kipenzi cha maza.

Tutalipiza huko makazini.
hakuna mtumishi aliye punjwa
uelewa mdogo wa somo la hisabati ndiyo tatizo pale
kima cha chini wamefaidika
na ndiyo walengwa wa hilo.
kabla hujalalamika ungeisoma kwanza barua yako ya ajira ili ujue unapaswa kuongezewa shiling ngapi kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom