Wewe ndo ulimpiga risasi?Ulitaka asigombee?Hivi mtu akipigwa risasi ndiyo sababu ya kugombea urais? Mbona hakugombea 2015?
CCM watapinga kwamba ni Mungu tu ndo alimuokoa!Si kwa sababu ni mgombea urais anayependwa sana.
Wala kwamba ni mwanasheria nguli.
Ama kutokana na jinsi anavyojenga hoja.
Au mvuto mwingine wowote alionao! Hapana.
Bali ni kwa sababu mida hii alitakiwa awe kaoza kaburini, lakini Mungu akampandisha tokea huko!
Alitakiwa awe kanyamaza lakini bado anasema!
Alitakiwa awe kasahaulika, lakini ndiye anayeongelewa kuliko wengine wote.
Ukisoma Neno la Mungu utaona mfanano wa karibu na kisa cha ndugu yetu mpendwa.
"Basi watu wengi katika wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua.
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumuua na Lazaro naye; maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu"
(Yoh.12:9‐11)
Sasa tujihoji, kwa nini watu walimiminika kwa Yesu baada ya tukio lile?
Jibu, hawakutaka kumwona Yeye pekee, ila na Lazaro aliyemfufua.
Kwa hiyo kumbe kuishi kwa Lazaro kuliutangaza utukufu wa Mungu. Na ndiyo sababu wakuu wakapendekeza Lazaro naye auawe haraka.
Nilipokumbuka ndiyo maana nikasema; nikimwangalia Lissu nauona utukufu wa Mungu.
Ndiyo kisa cha mimi na wengine tunatamani kumwona siyo yeye Lissu tu, lakini na huyo Mungu wake aliyemwokoa!
Hizi ni siri kubwa sana ukiwa msemaji wa biblia.Si kwa sababu ni mgombea urais anayependwa sana.
Wala kwamba ni mwanasheria nguli.
Ama kutokana na jinsi anavyojenga hoja.
Au mvuto mwingine wowote alionao! Hapana.
Bali ni kwa sababu mida hii alitakiwa awe kaoza kaburini, lakini Mungu akampandisha tokea huko!
Alitakiwa awe kanyamaza lakini bado anasema!
Alitakiwa awe kasahaulika, lakini ndiye anayeongelewa kuliko wengine wote.
Ukisoma Neno la Mungu utaona mfanano wa karibu na kisa cha ndugu yetu mpendwa.
"Basi watu wengi katika wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua.
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumuua na Lazaro naye; maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu"
(Yoh.12:9‐11)
Sasa tujihoji, kwa nini watu walimiminika kwa Yesu baada ya tukio lile?
Jibu, hawakutaka kumwona Yeye pekee, ila na Lazaro aliyemfufua.
Kwa hiyo kumbe kuishi kwa Lazaro kuliutangaza utukufu wa Mungu. Na ndiyo sababu wakuu wakapendekeza Lazaro naye auawe haraka.
Nilipokumbuka ndiyo maana nikasema; nikimwangalia Lissu nauona utukufu wa Mungu.
Ndiyo kisa cha mimi na wengine tunatamani kumwona siyo yeye Lissu tu, lakini na huyo Mungu wake aliyemwokoa!
Ccm wana roho ya kikatili ya kihutuSi kwa sababu ni mgombea urais anayependwa sana.
Wala kwamba ni mwanasheria nguli.
Ama kutokana na jinsi anavyojenga hoja.
Au mvuto mwingine wowote alionao! Hapana.
Bali ni kwa sababu mida hii alitakiwa awe kaoza kaburini, lakini Mungu akampandisha tokea huko!
Alitakiwa awe kanyamaza lakini bado anasema!
Alitakiwa awe kasahaulika, lakini ndiye anayeongelewa kuliko wengine wote.
Ukisoma Neno la Mungu utaona mfanano wa karibu na kisa cha ndugu yetu mpendwa.
"Basi watu wengi katika wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua.
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumuua na Lazaro naye; maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu"
(Yoh.12:9‐11)
Sasa tujihoji, kwa nini watu walimiminika kwa Yesu baada ya tukio lile?
Jibu, hawakutaka kumwona Yeye pekee, ila na Lazaro aliyemfufua.
Kwa hiyo kumbe kuishi kwa Lazaro kuliutangaza utukufu wa Mungu. Na ndiyo sababu wakuu wakapendekeza Lazaro naye auawe haraka.
Nilipokumbuka ndiyo maana nikasema; nikimwangalia Lissu nauona utukufu wa Mungu.
Ndiyo kisa cha mimi na wengine tunatamani kumwona siyo yeye Lissu tu, lakini na huyo Mungu wake aliyemwokoa!
ujinga wa uvccm na gazeti za ccm, weka hapa video inayoonyesha anatamka hayo!!
Kuna nguvu na nuru ya Mungu ndani ya Tundu Antiphas Lissu.Si kwa sababu ni mgombea urais anayependwa sana.
Wala kwamba ni mwanasheria nguli.
Ama kutokana na jinsi anavyojenga hoja.
Au mvuto mwingine wowote alionao! Hapana.
Bali ni kwa sababu mida hii alitakiwa awe kaoza kaburini, lakini Mungu akampandisha tokea huko!
Alitakiwa awe kanyamaza lakini bado anasema!
Alitakiwa awe kasahaulika, lakini ndiye anayeongelewa kuliko wengine wote.
Ukisoma Neno la Mungu utaona mfanano wa karibu na kisa cha ndugu yetu mpendwa.
"Basi watu wengi katika wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua.
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumuua na Lazaro naye; maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu"
(Yoh.12:9‐11)
Sasa tujihoji, kwa nini watu walimiminika kwa Yesu baada ya tukio lile?
Jibu, hawakutaka kumwona Yeye pekee, ila na Lazaro aliyemfufua.
Kwa hiyo kumbe kuishi kwa Lazaro kuliutangaza utukufu wa Mungu. Na ndiyo sababu wakuu wakapendekeza Lazaro naye auawe haraka.
Nilipokumbuka ndiyo maana nikasema; nikimwangalia Lissu nauona utukufu wa Mungu.
Ndiyo kisa cha mimi na wengine tunatamani kumwona siyo yeye Lissu tu, lakini na huyo Mungu wake aliyemwokoa!
unaletaje ujinga wako humu pasipo kuwa na ushahidi nao..acha kuwa shuhuda wa uongo ilihali hata biblia inawalaani watu kama ninyi, mbaya zaidi usikute na wewe ni wa kiumemkuu mi sihusiki nimeikuta tu sehemu nikaona bora niilete hapa makamanda tuijadili
AmenSi kwa sababu ni mgombea urais anayependwa sana.
Wala kwamba ni mwanasheria nguli.
Ama kutokana na jinsi anavyojenga hoja.
Au mvuto mwingine wowote alionao! Hapana.
Bali ni kwa sababu mida hii alitakiwa awe kaoza kaburini, lakini Mungu akampandisha tokea huko!
Alitakiwa awe kanyamaza lakini bado anasema!
Alitakiwa awe kasahaulika, lakini ndiye anayeongelewa kuliko wengine wote.
Ukisoma Neno la Mungu utaona mfanano wa karibu na kisa cha ndugu yetu mpendwa.
"Basi watu wengi katika wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua.
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumuua na Lazaro naye; maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu"
(Yoh.12:9‐11)
Sasa tujihoji, kwa nini watu walimiminika kwa Yesu baada ya tukio lile?
Jibu, hawakutaka kumwona Yeye pekee, ila na Lazaro aliyemfufua.
Kwa hiyo kumbe kuishi kwa Lazaro kuliutangaza utukufu wa Mungu. Na ndiyo sababu wakuu wakapendekeza Lazaro naye auawe haraka.
Nilipokumbuka ndiyo maana nikasema; nikimwangalia Lissu nauona utukufu wa Mungu.
Ndiyo kisa cha mimi na wengine tunatamani kumwona siyo yeye Lissu tu, lakini na huyo Mungu wake aliyemwokoa!