Sina sababu ya kufanya hivyo. Jamii Forums ni jukwaa pana. Na kwa bahati mbaya hatufahamiani humu. Sasa nongwa iko wapi mtu kuuliza kwa nia njema ili kupata ufafanuzi?Fanya uombe radhi wewe..mwenzako kafiwa wewe unasema amekopy habari!
Pole sana mkuu.hakuna aliyepona wamepishana masaa
Pole sana mkuu, sababu ya kifo ni pneumonia kali hamna sababu nyingine hapo.