Hamza Nsiha
JF-Expert Member
- Jul 25, 2022
- 221
- 197
Habari za humu ndugu wana JamiiForums,
Ninamshukuru Mungu kwakuwa hadi leo ni mzima, japo hapo siku chache nyuma nilipata ajali mbaya ambapo nilkuwa nikiendesha pikipiki, kwa bahati mbaya niliweza kukutana na lori japo lilinigonga kwa upande wa pembeni.
Kikubwa cha kumshukuru Mungu pekee ni kuwa nilibahatika kutoka salama japo nilipata majeraha machache ambayo mpaka sasa yanaendelea vizuri.
Hakika niliwakumbuka sana wanaJamiiForums, hivi sasa nimerejea katika jukwaa langu pendwa kwa minajili ya kuendelea kupeana habari na hoja mbalimbali.
Ninamshukuru Mungu kwakuwa hadi leo ni mzima, japo hapo siku chache nyuma nilipata ajali mbaya ambapo nilkuwa nikiendesha pikipiki, kwa bahati mbaya niliweza kukutana na lori japo lilinigonga kwa upande wa pembeni.
Kikubwa cha kumshukuru Mungu pekee ni kuwa nilibahatika kutoka salama japo nilipata majeraha machache ambayo mpaka sasa yanaendelea vizuri.
Hakika niliwakumbuka sana wanaJamiiForums, hivi sasa nimerejea katika jukwaa langu pendwa kwa minajili ya kuendelea kupeana habari na hoja mbalimbali.