HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,450
- 6,211
Ni pmYani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia
Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa
NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
ni mweusi, mwembamba ila ana kamwili ka mazoezi, ana urefu wa 5.3 feet, pia ni SINGO BABA wa watoto wawili, kama ipo tayari njoo PM nikuunganishe naeYani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia
Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa
NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
Subira yavuta kheri mkuuYani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia
Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa
NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
Ooooh No.[emoji50]Sadac ndo Nini?
Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia
Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa
NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
Kama wewe ni mkristo mkatoliki nakushauri hivi:Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia
Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa
NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
Na hao ndio wengi!Asilimia kubwa ya watu Duniani, hawapati wanachotaka kwahiyo usijishangae ni kawaida sana
True brother, you just have to enjoy whats on the plate!!!Asilimia kubwa ya watu Duniani, hawapati wanachotaka kwahiyo usijishangae ni kawaida sana
*** nigga this is extreme π€£π€£π€£Hauna bachelor degree
Mweusi tiii
Mfupiiii
Una kitambi
Uko broke
Macho makubwa kama machungwa
Alafu unachagua mwanaume unayemtaka
Awe na kazi nzuri ai biashara kubwa
Awe mweupe mrefu asiwe na kitambi
Awe na gari zuri na nyumba
Akuoe kwa harusi
πππππjamaa yangu utapata tabu