Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,741
- 3,546
Endelea kusubiri mumy, subira yavuta heri haivuti bangi ukiendelea kusubiri sugua na goti kwa Mungu akuletee mume mwema na siyo mume jina.Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia
Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa
NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
😅😅😅Mkuu lini umekuwa mweusi na kunenepa? 😜
Kwa hiyo umenipenda ?[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
[emoji13][emoji13][emoji13]An intelligence agency is a government agency responsible for the collection, analysis, and exploitation of information in support of law enforcement, national security, military, and foreign policy objectives.
Wala sijishangai mie natamani tu [emoji39]
Wewe dada uwe makini humu jf....Yani natamani Sana ndoa sijui kwanini ,Yani natamani niwe na mwanaume wangu nimdekeze nisumbue sumbue kumnyoshea nguo kumpikia akipendacho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] yaniiia
Ila naona wakati bado niliambiwa jf ntapata nimejaribu naona hakuna mwenye uhitaji wa kuoa
NgojA niendeleee kusubiri [emoji41]
Mkuu Subira sasa kaacha kuvuta heri anavuta bangi.Endelea kusubiri mumy, subira yavuta heri haivuti bangi ukiendelea kusubiri sugua na goti kwa Mungu akuletee mume mwema na siyo mume jina.
daah mm sjaelewa kabisaNimekuelewa mnooooooo
Ngoja kwanza tusikilizie,RC kama hatasajili ndoa kama anavyojinasibu nitakutafuta.Wala sijishangai mie natamani tu [emoji39]
Thinker! Genius!An intelligence agency is a government agency responsible for the collection, analysis, and exploitation of information in support of law enforcement, national security, military, and foreign policy objectives.