Hakika mapenzi ni mchezo wa ajabu sana

Hakika mapenzi ni mchezo wa ajabu sana

Status
Not open for further replies.
yap nakubaliana nawe kwan yawezekana ikawa bado changa lakin imeshehen vitu vya msingi,pia ww yawezekana ukawa na akili iliyokomaa lakin haina kitu kama boga kubwa lisilo na kitu ndan,ctakuacha yatima kamwe ntaendelea kukupa japo kidogo cha kukuongezea mwanga wa maisha

cha msingi kama kipi? Isipokua kujisifia upuuzi wako unaoufanya pamoja na udogo wako huo?
 
ETC = End of Thinking Capacity. Dogo ndo mwisho wake wa kuwaza, akipata pesa hana cha kufanya isipokuwa wanawake. Kwa style hiyo asahau...

mi niposana kwenye jukwaa la siasa bt huku huwa napita kufurahi maana mwanfurahishaga sana memba wa huku. cose you always make my day.

sasa haka kajamaa kanako jifanya kame ajiriwa crdb naona kana wasumbua kweli,

si mkaulize hiv, hivi mwenye hela ameajiriwa au ndo ana ajiri?

alafu kanasema mkafate vila park resolt mwanza mkaone kanavyospend na watoto, sasa hapo ndo kanaona ni expensive place for spending kwa maisha yake?

alafu kwao kuna hela, vipi tena kusoma shule ya shilingi 20 elfu kwa mwaka (pambasecondary),

hiyo o level nayo? sio bure kweli? haya ukamaliza hiyo form six na wako wanane, ehnhe, mwezentu ukaenda chuo, tena ukalipiwana wazazi kwenu zipo sa kwanini ulipo maliza usijajiri? si kwenu zipo?

kwa taarifa yenu memba wa humu, huyu hayuko pekee ni tuvijana tume kaa sehemu tunasaidiana kuandika hz pumba. mkaache tu, nahisi ni kakule kage,

unapesa unaenda vila, unapesa unasoma pamba, unapesa umeajiriwa, angalau ungesema natafuta pesa ninge kuelewa.
 
mi niposana kwenye jukwaa la siasa bt huku huwa napita kufurahi maana mwanfurahishaga sana memba wa huku. cose you always make my day.

sasa haka kajamaa kanako jifanya kame ajiriwa crdb naona kana wasumbua kweli,

si mkaulize hiv, hivi mwenye hela ameajiriwa au ndo ana ajiri?

alafu kanasema mkafate vila park resolt mwanza mkaone kanavyospend na watoto, sasa hapo ndo kanaona ni expensive place for spending kwa maisha yake?

alafu kwao kuna hela, vipi tena kusoma shule ya shilingi 20 elfu kwa mwaka (pambasecondary),

hiyo o level nayo? sio bure kweli? haya ukamaliza hiyo form six na wako wanane, ehnhe, mwezentu ukaenda chuo, tena ukalipiwana wazazi kwenu zipo sa kwanini ulipo maliza usijajiri? si kwenu zipo?

kwa taarifa yenu memba wa humu, huyu hayuko pekee ni tuvijana tume kaa sehemu tunasaidiana kuandika hz pumba. mkaache tu, nahisi ni kakule kage,

unapesa unaenda vila, unapesa unasoma pamba, unapesa umeajiriwa, angalau ungesema natafuta pesa ninge kuelewa.
Kwa hili katajifunza. Sometimes we take trouble to educate our foolish boys like these wasitutie aibu ughaibuni, maana haka kakienda kenya kwa mfano katafanya ujinga huu huu alafu wabongo wote tutaonekana mbulula, kumbe ni ujinga wa kaserengeti boy kamoja tu
 
ckia ww mtoto nmeanza darasa la kwanza nkiwa na 6yrs na mbona umekalili kuwa kila college ni three yrs acha kukalili ndgu yngu utakalili na visivokalilika nmesoma prof in banking laws mwaka mmoja na miez sita Nairob university kwan nlikuwa tayar nina form six wao Kenya system ya Elimu ni tofaut na Tanzania wao wakimaliza form 4 wanaingia direct university kaka naomba uckalili bac,elewa mambo,ila pole sana na mie naahidi sitowaacha yatima ntaendelea kuwapa elimu na kuwafuta ujinga
Wow, sasa naelewa kwa nini unaandika ujinga, kumbe degree uliyonayo ni ya mwaka mmoja na miezi 6, degree!!! Tena Banking, mwaka 1 na miezi 6!!! Yaani hivi vyuo vya ghorofa ya tatu vina matatizo kweli. Pole dogo, sasa huko CRDB unadeki vyoo au?
 
naomben ushaur wana JF,mimi ni mvulana wa miaka 21 nmekuwa na wakati mgumu sana katika mapenz kutokana na kung'ang'aniwa kimapenz na wakina dada ambao nmekuwa nao katika mahusiano:
katika hali ya kawaida ni vigumu sana mvulana aliye kamili kukaa kwa kpndi kirefu bila kufanya sex,ivo kwangu suala hili limekuwa kitendawili kutokana kuwa kila mdada ambaye nakuwa naye kimapenz mwisho wa cku ataki kuniacha na kung'ang'ania eti nimuoe na hii imekwisha nitokea kwa wasichana zaidi ya 8
Tatizo ni wakat huu ambapo kuna mdada alikuwa mpenz wngu kabla cjaondoka kwenda Nairobi kimasomo kuamua kuachana na mme ambaye aliyekuwa anaish nae na kurudi kwao ambapo ni mtaa mmoja na nyumban akidai lazma mm nimuoe,na amekuwa kila siku akija home kwetu na kukaa na Bi mkubwa(mama) mpaka nnaporud kutoka job,
japo wasichana wote ambao nakuwa nao kimapenz huwa nawaweka wazi kuwa mm naitaji mahusiano ya kimapenz na sio ndoa ili akae akijua tupo pamoja kama wapenz tu na si vingnevyo,
jaman naomben ushaur wenu nifanye nn kwan imefikia hatua hadi mmewe japo hawajafunga ndoa anakuja home kwetu kumlalamikia Bi mkubwa kuwa nmemtenganisha na mkewe

Utoto ndo unakusumbua na kukufanya kuwa na vibinti vya lika yako vingi...angalia utaicha dunia hii bila hata mtoto ukimwi ujapatiwa dawa.
 
lait ungejua kama internet cafe cjawai kukanyaga bac usingejiongelesha na kama unataka kujua kuwa natumia smartphone bac npe namba yko niingize kene simu yangu nikupigie cm kwa kutumia viber lkn ni endapo2 cm yko pia ina viber yan net naingia mda wwte naotaka ama npe hiyo nmba nkuchek whasApp
Sijui tukuweke kundi gani? Mjinga sio mjinga, mwelevu sio mwelevu, labda mpumbavu. Na afadhari mjinga anaelimika, ila mpumbavu hata umtwange na ngano, atabaki mpumbavu tu
 
21 having relationship with 8 girls mmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhh?????????????????????????????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
keshasema kabila lake, bado mnahangaikia nini? au hamjui tabia za watu wa kabila hilo?
 
kapime ukimwi kwanza ndio tukushauri maana hapa naona kama wewe ni jeneza hadi sasa
 
mie nshamaliza chuo na sasa ivi ni mwajiliwa wa tawi moja la CRDB hapa mwanza,na saivi nataka ntulie ili ntafute mke wa kuoa kwan nlikuwepo kcheche sana,lakn nakumbana na hili tatzo

Mbona inavyoonyesha unaakili za mtoto wa form 2!
 
naomben ushaur wana JF,mimi ni mvulana wa miaka 21 nmekuwa na wakati mgumu sana katika mapenz kutokana na kung'ang'aniwa kimapenz na wakina dada ambao nmekuwa nao katika mahusiano:
katika hali ya kawaida ni vigumu sana mvulana aliye kamili kukaa kwa kpndi kirefu bila kufanya sex,ivo kwangu suala hili limekuwa kitendawili kutokana kuwa kila mdada ambaye nakuwa naye kimapenz mwisho wa cku ataki kuniacha na kung'ang'ania eti nimuoe na hii imekwisha nitokea kwa wasichana zaidi ya 8
Tatizo ni wakat huu ambapo kuna mdada alikuwa mpenz wngu kabla cjaondoka kwenda Nairobi kimasomo kuamua kuachana na mme ambaye aliyekuwa anaish nae na kurudi kwao ambapo ni mtaa mmoja na nyumban akidai lazma mm nimuoe,na amekuwa kila siku akija home kwetu na kukaa na Bi mkubwa(mama) mpaka nnaporud kutoka job,
japo wasichana wote ambao nakuwa nao kimapenz huwa nawaweka wazi kuwa mm naitaji mahusiano ya kimapenz na sio ndoa ili akae akijua tupo pamoja kama wapenz tu na si vingnevyo,
jaman naomben ushaur wenu nifanye nn kwan imefikia hatua hadi mmewe japo hawajafunga ndoa anakuja home kwetu kumlalamikia Bi mkubwa kuwa nmemtenganisha na mkewe


Chalii wewe naye ni zile product handsome ya UDOM nini, coz miezi ya katikati mwaka jana kuna vijana kibao walijiunga hapa wakijitambulisha wamemaliza UDOM na kuanza kuweka post zisizo na kichwa wala miguu. Kujisifu kwingi na uhandsome mara nagombewa na wanawake.

Back to topic
Chalii duniani hakuna bingwa wala fundi wa mapenzi wewe jidanganye hapo siku moja akili itakaa sawa tuu. Najua hutarudi tena kuomba ushauri.
 
awww jmn hakuna sehem unagawa hela tajirrii??hahah kama hauna sehem bas hata nitumiee eee young billionaree
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom