syber
Member
- May 6, 2013
- 35
- 29
Naomben ushauri wana JF, mimi ni mvulana wa miaka 21, nimekuwa na wakati mgumu sana katika mapenzi kutokana na kung'ang'aniwa kimapenzi na wakina dada ambao nimekuwa nao katika mahusiano.
Katika hali ya kawaida ni vigumu sana mvulana aliye kamili kukaa kwa kipindi kirefu bila kufanya sex, hivyo kwangu suala hili limekuwa kitendawili kutokana kuwa, kila dada ambaye nakuwa naye kimapenzi mwisho wa siku hataki kuniacha na kung'ang'ania eti nimuoe, na hii imekwisha nitokea kwa wasichana zaidi ya 8.
Tatizo ni wakati huu ambapo kuna dada alikuwa mpenzi wangu kabla sijaondoka kwenda Nairobi kimasomo kuamua kuachana na mume ambaye aliyekuwa anaishi nae na kurudi kwao ambapo ni mtaa mmoja na nyumbani akidai lazima mimi nimuoe, na amekuwa kila siku akija home kwetu na kukaa na Bi mkubwa (mama) mpaka ninaporudi kutoka job.
Japo wasichana wote ambao nakuwa nao kimapenzi huwa nawaweka wazi kuwa mimi naitaji mahusiano ya kimapenzi na sio ndoa ili akae akijua tupo pamoja kama wapenzi tu na si vingnevyo.
Jamani naombeni ushauri wenu, nifanye nini kwani imefikia hatua hadi mumewe (japo hawajafunga ndoa) anakuja home kwetu kumlalamikia Bi mkubwa kuwa nimemtenganisha na mkewe.
Katika hali ya kawaida ni vigumu sana mvulana aliye kamili kukaa kwa kipindi kirefu bila kufanya sex, hivyo kwangu suala hili limekuwa kitendawili kutokana kuwa, kila dada ambaye nakuwa naye kimapenzi mwisho wa siku hataki kuniacha na kung'ang'ania eti nimuoe, na hii imekwisha nitokea kwa wasichana zaidi ya 8.
Tatizo ni wakati huu ambapo kuna dada alikuwa mpenzi wangu kabla sijaondoka kwenda Nairobi kimasomo kuamua kuachana na mume ambaye aliyekuwa anaishi nae na kurudi kwao ambapo ni mtaa mmoja na nyumbani akidai lazima mimi nimuoe, na amekuwa kila siku akija home kwetu na kukaa na Bi mkubwa (mama) mpaka ninaporudi kutoka job.
Japo wasichana wote ambao nakuwa nao kimapenzi huwa nawaweka wazi kuwa mimi naitaji mahusiano ya kimapenzi na sio ndoa ili akae akijua tupo pamoja kama wapenzi tu na si vingnevyo.
Jamani naombeni ushauri wenu, nifanye nini kwani imefikia hatua hadi mumewe (japo hawajafunga ndoa) anakuja home kwetu kumlalamikia Bi mkubwa kuwa nimemtenganisha na mkewe.