mmiliki wa meli ni AYOUB HASHIM JAKU mwakilishi(mbunge) wa muyuni,mkoa wa kusini unguja kwa tiketi ya CCM
mmiliki wa meli ni AYOUB HASHIM JAKU mwakilishi(mbunge) wa muyuni,mkoa wa kusini unguja kwa tiketi ya CCM
Kama umelisoma gazeti la Mtanzania la leo ukurasa wa kwanza utaona jitihada za Mheshimiwa MBUNGE wa Monduli Edward Lowassa katika kujaribu kuwa "relevant" katika "political setup" ya nchi hii kwa kujipatia "cheap visibility" pale aliposhauri BIMA iwajibike na ajali ya meli ya Zanzibar...................
what are the pertinent facts on this tragedy?
1) Mwenye meli alipakia watu na bidhaa zaidi ya kipimo na uwezo wa meli............................huu ni uzembe kwa mmiliki wa chombo, SUMATRA, na serikali ya JMT na ya visiwani.................................BIMA hawawajibiki katika ajali za kizembe kama hii........................
2) Sheria za vyombo vya majini ipo wazi kabisa ajali zote zinazosababishwa na uzembe wamiliki kugharimia fidia..........sasa Mheshimiwa Lowassa anatoka wapi kuingiza BIMA kwenye nakisi bandia ambazo ni kinyume kabisa na sheria??????????????????
3) Kama mwanasiasa huyu angelikuwa ni kiongozi makini na ambaye anajali kweli adha za raia angelishinikiza uwajibikaji wa watendaji serikalini badala ya kututupia changa machoni kwa hizi kejeli zake.............katika masuala ya kimsingi kama haya...................
where does this leave Lowassa with his burning ambition to be our CHIEF CEO comes 2015??????????????
He is definitely unfit and totally unprepared with 21st challenges.........bedevilling this nation................and in....................particular when he fails even to grasp such rudimentaries of our own laws which he had personally helped to patch up.......................................
what is your view on this discourse after you have carefully perused the said article on Mtanzania?
Lowassa akinyamaza......utasikia ooh sijui mbona hasemi kama ni kiongozi anayetegemewa baadaye mbona hasemi? Akiongea ooh anaongea Mno! Lol! Hata kama ni layman katika sheria lakini lengo lake lilikua jema kwamba watu wale wasaidiwe! Kweli WTZ sijui ni Taifa lililotoka wapi, Bongo Bwana noma ILA nimekumbuka TATIZO USWAHILI MWINGI/POROJO/LONGOLONGO!!!! RutashubaNYUMA.....uko NYUMA sana na sioni hoja katika thread yako!!!
Lowasa anaweza kuwa yuko sahihi......... Hebu jiulize
kama meli ni mbovu tangu 2006 kwa nini bima ikubali kuipa kibali
kama hiyo meli ilikataliwa europe kwa 2005 nini hilo shirika lilidhie kuiidhinisha, am sure ilikuwa inalipa bima kubwa kulingana na uchakavu iliokuwanao so bima walipe....
Alishasema ni bora ufanye maamuzi yakawa sio sahihi kuliko kutokufanya maamuzi kabisa..
Umemsahau Edward Moringe Sokoine kwenye list yako..Hawa mawaziri wakuu wa zamani bana
- Nyerere(deceased)
- Kawawa(deceased)
- Msuya(kimya)
- Warioba(kimya)
- Salim(kimya)
- Malecela(kimya)
- Sumaye(kidooogo anaongea)
- Lowassa(anaongea mno)
Then kazi yake kwisha kuanzia hapo alipo ajiuzuru ubunge tuuuuu iweje yeye kama yeye mwakilishi wa wananchi akiuke mashariti ya usafirishaji watendajiwake wawajibishwe ipasavyo,
Hiyo Meli ni lini mara ya mwisho kufanyiwa service? ni kwa muda gani tokea aimiliki hiyo meli na imeingiza faida kiasi gani ambacho alishindwa nunu ameli nyingine au kuboresha service
mwambieni asitufanye wajinga !halafu anavyopenda sifa atakuwa alienda kuhani msiba na ma gum boot,huwa anatembea na gumboot kwenye gari akisikia kuna mafuriko anavaa anakwenda eneo la tukio. Hii ni mwanzo tu! mpeni nchi muone kituko kingine tena
<font size="3"><span style="font-family: courier new">Kama umelisoma gazeti la Mtanzania la leo ukurasa wa kwanza utaona jitihada za Mheshimiwa MBUNGE wa Monduli Edward Lowassa katika kujaribu kuwa "relevant" katika "political setup" ya nchi hii kwa kujipatia <font color="#ff0000">"cheap visibility"</font> pale aliposhauri BIMA iwajibike na ajali ya meli ya Zanzibar...................<br />
<br />
<b>what are the pertinent facts on this tragedy?</b><br />
<br />
1) Mwenye meli alipakia watu na bidhaa zaidi ya kipimo na uwezo wa meli............................huu ni uzembe kwa mmiliki wa chombo, SUMATRA, na serikali ya JMT na ya visiwani.................................BIMA hawawajibiki katika ajali za kizembe kama hii........................<br />
<br />
2) Sheria za vyombo vya majini ipo wazi kabisa ajali zote zinazosababishwa na uzembe wamiliki kugharimia fidia..........sasa Mheshimiwa Lowassa anatoka wapi kuingiza BIMA kwenye nakisi bandia ambazo ni kinyume kabisa na sheria??????????????????<br />
<br />
3) <font color="#ff0000">Kama mwanasiasa huyu</font> angelikuwa ni kiongozi makini na ambaye anajali kweli adha za raia <font color="#ff0000">angelishinikiza uwajibikaji wa watendaji serikalini </font>badala ya kututupia changa machoni kwa hizi kejeli zake.............katika masuala ya kimsingi kama haya...................<br />
<br />
where does this leave Lowassa with his burning ambition to be our CHIEF CEO comes 2015??????????????<br />
<br />
He is definitely unfit and totally unprepared with 21st challenges.........bedevilling this nation................and in....................particular when he fails even to grasp such rudimentaries of our own laws which he had personally helped to patch up.......................................<br />
<br />
<b
Mimi nadhani Lowasa yupo ryt kwa hili, kuna ki2 kinaitwa third party insurance ambayo inamlinda abiria, regardles ajali imetokeaje! Isure atamlipa insured then ata deal na aliye7babisha ajali! So Low-hasa yupo ryt kwa hilo! Nawakilisha
<br /><br />Huyu tumsamehe ni incumbent
Kama umelisoma gazeti la Mtanzania la leo ukurasa wa kwanza utaona jitihada za Mheshimiwa MBUNGE wa Monduli Edward Lowassa katika kujaribu kuwa "relevant" katika "political setup" ya nchi hii kwa kujipatia "cheap visibility" pale aliposhauri BIMA iwajibike na ajali ya meli ya Zanzibar...................
what are the pertinent facts on this tragedy?
1) Mwenye meli alipakia watu na bidhaa zaidi ya kipimo na uwezo wa meli............................huu ni uzembe kwa mmiliki wa chombo, SUMATRA, na serikali ya JMT na ya visiwani.................................BIMA hawawajibiki katika ajali za kizembe kama hii........................
2) Sheria za vyombo vya majini ipo wazi kabisa ajali zote zinazosababishwa na uzembe wamiliki kugharimia fidia..........sasa Mheshimiwa Lowassa anatoka wapi kuingiza BIMA kwenye nakisi bandia ambazo ni kinyume kabisa na sheria??????????????????
3) Kama mwanasiasa huyu angelikuwa ni kiongozi makini na ambaye anajali kweli adha za raia angelishinikiza uwajibikaji wa watendaji serikalini badala ya kututupia changa machoni kwa hizi kejeli zake.............katika masuala ya kimsingi kama haya...................
where does this leave Lowassa with his burning ambition to be our CHIEF CEO comes 2015??????????????
He is definitely unfit and totally unprepared with 21st challenges.........bedevilling this nation................and in....................particular when he fails even to grasp such rudimentaries of our own laws which he had personally helped to patch up.......................................
what is your view on this discourse after you have carefully perused the said article on Mtanzania?