Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
MV Spice Islanders ilibeba abiria 3,000 | Send to a friend |
Wednesday, 14 September 2011 20:39 |
|
<br />ANAJIANDAA KUGOMBEA URAISI 2011 KWA TIKET YA CUF MWACHE AJIPANGe
Mkuu Jethro, mambo yameshaharibika hapa na tunavyochelewa kuchukua hatua ndivyo tunajipeleka wenyewe 'ground zero'. Wanaweza kuza na service documents ambazo ziko backdated kama walivyofanya kwenye utetezi wa ndege za serikari mkumbeba mrs. mkulu!
Then kazi yake kwisha kuanzia hapo alipo ajiuzuru ubunge tuuuuu iweje yeye kama yeye mwakilishi wa wananchi akiuke mashariti ya usafirishaji watendajiwake wawajibishwe ipasavyo,
Hiyo Meli ni lini mara ya mwisho kufanyiwa service? ni kwa muda gani tokea aimiliki hiyo meli na imeingiza faida kiasi gani ambacho alishindwa nunu ameli nyingine au kuboresha service
Kama umelisoma gazeti la Mtanzania la leo ukurasa wa kwanza utaona jitihada za Mheshimiwa MBUNGE wa Monduli Edward Lowassa katika kujaribu kuwa "relevant" katika "political setup" ya nchi hii kwa kujipatia "cheap visibility" pale aliposhauri BIMA iwajibike na ajali ya meli ya Zanzibar...................
what are the pertinent facts on this tragedy?
1) Mwenye meli alipakia watu na bidhaa zaidi ya kipimo na uwezo wa meli............................huu ni uzembe kwa mmiliki wa chombo, SUMATRA, na serikali ya JMT na ya visiwani.................................BIMA hawawajibiki katika ajali za kizembe kama hii........................
2) Sheria za vyombo vya majini ipo wazi kabisa ajali zote zinazosababishwa na uzembe wamiliki kugharimia fidia..........sasa Mheshimiwa Lowassa anatoka wapi kuingiza BIMA kwenye nakisi bandia ambazo ni kinyume kabisa na sheria??????????????????
3) Kama mwanasiasa huyu angelikuwa ni kiongozi makini na ambaye anajali kweli adha za raia angelishinikiza uwajibikaji wa watendaji serikalini badala ya kututupia changa machoni kwa hizi kejeli zake.............katika masuala ya kimsingi kama haya...................
where does this leave Lowassa with his burning ambition to be our CHIEF CEO comes 2015??????????????
He is definitely unfit and totally unprepared with 21st challenges.........bedevilling this nation................and in....................particular when he fails even to grasp such rudimentaries of our own laws which he had personally helped to patch up.......................................
what is your view on this discourse after you have carefully perused the said article on Mtanzania?
lowasa for presdent 2015 kwa tiketi ya magamba,ambaye hataki ajinyonge.
Hawa mawaziri wakuu wa zamani bana
- Nyerere(deceased)
- Kawawa(deceased)
- Msuya(kimya)
- Warioba(kimya)
- Salim(kimya)
- Malecela(kimya)
- Sumaye(kidooogo anaongea)
- Lowassa(anaongea mno)
9. Pinda (Kimya anaogopa anaweza kusema hili halafu kesho akakanushwa vikali au akaambiwa asubiri hadi Mkweree ashuke kwenye 'Air Force One' ili amshauri kwa kuwa Mkweree akiwa safari, Ikulu yote likizo na makamu wa raisi anaenda Zenji kula urojo.)
Kama umelisoma gazeti la Mtanzania la leo ukurasa wa kwanza utaona jitihada za Mheshimiwa MBUNGE wa Monduli Edward Lowassa katika kujaribu kuwa "relevant" katika "political setup" ya nchi hii kwa kujipatia "cheap visibility" pale aliposhauri BIMA iwajibike na ajali ya meli ya Zanzibar...................
what are the pertinent facts on this tragedy?
1) Mwenye meli alipakia watu na bidhaa zaidi ya kipimo na uwezo wa meli............................huu ni uzembe kwa mmiliki wa chombo, SUMATRA, na serikali ya JMT na ya visiwani.................................BIMA hawawajibiki katika ajali za kizembe kama hii........................
2) Sheria za vyombo vya majini ipo wazi kabisa ajali zote zinazosababishwa na uzembe wamiliki kugharimia fidia..........sasa Mheshimiwa Lowassa anatoka wapi kuingiza BIMA kwenye nakisi bandia ambazo ni kinyume kabisa na sheria??????????????????
3) Kama mwanasiasa huyu angelikuwa ni kiongozi makini na ambaye anajali kweli adha za raia angelishinikiza uwajibikaji wa watendaji serikalini badala ya kututupia changa machoni kwa hizi kejeli zake.............katika masuala ya kimsingi kama haya...................
where does this leave Lowassa with his burning ambition to be our CHIEF CEO comes 2015??????????????
He is definitely unfit and totally unprepared with 21st challenges.........bedevilling this nation................and in....................particular when he fails even to grasp such rudimentaries of our own laws which he had personally helped to patch up.......................................
what is your view on this discourse after you have carefully perused the said article on Mtanzania?