Hakika chumba cha jirani ni shida

Hakika chumba cha jirani ni shida

Kuwa bize nje huko hutayasikia haya.. Enewei.. Dawa ya moto ni moto.. Akipiga kimoja we tafuta wako pigeni viwili, ongeza mic na loud spika tena uweke 'echo' mpaka mwisho
 
Wadau nimeleta hii kwenu ili mnisaidie je jamaa chumba cha jirani anajua sana au hajui mambo

Maana usiku utaona wanaenda kuoga wote ajabu bibie akinogewa upiga kelele mpka wa nje uku tunasikia kukata shazi inabidi tujifungie ndani

Usiku mmelala unasikia tena bibie anaulilia

Mchana jamaa akirudi kazini wanajifungia unasikia tena bibie ana ulilia

Hakika chumba cha jirani ni shida
yawezekana bibie anajua kuulilia maana kuna wengine hata usimamie machoo meupeee
 
madem km hao wanakufanya kila cku upige puli km upo single, me nyumba hiyo sikai kwa kweli
 
Record sauti yake arafu siku moja jamaa akirudi na Mke hayupo weka Kwa sauti kubwa, jamaa atahisi kama unagonga Mke wake atakuwa na wasiwasi, ikiishwa irudie Mara kadhaa mpaka Mke wake arudi. Wataongea na hutazisikia tena.
 
Si uende ukaamulie?
Haiwezekani mnashuhudia mwanamke anapigwa hivyo nyie mpo.
 
Angalia usiwe una hamu na wewe kuulilia wa jamaa maana unaonekana kama unatamani kuulilia na wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom