Hakika chumba cha jirani ni shida

Hakika chumba cha jirani ni shida

Wadau nimeleta hii kwenu ili mnisaidie je jamaa chumba cha jirani anajua sana au hajui mambo

Maana usiku utaona wanaenda kuoga wote ajabu bibie akinogewa upiga kelele mpka wa nje uku tunasikia kukata shazi inabidi tujifungie ndani

Usiku mmelala unasikia tena bibie anaulilia

Mchana jamaa akirudi kazini wanajifungia unasikia tena bibie ana ulilia

Hakika chumba cha jirani ni shida
Pole sana lakini Ukitumia Head4n itapenza zaid
 
Bora huyo, kuna jirani yangu tuko mbali na si nyumba ya kupanga lakini anaongea kwa sauti kweli huyu mke wa jirani yangu! Hadi kero yaaaaani.......
... Anaboa kweli.

Kwa sasa nafikiria kuweka redio nje ya nyumba kwenye ukuta ili nisimsikie
 
owa... wakianza mgegedo na wewe gegeda...ngoma droo... wacha kulia lia
 
vyuma vimekaza bila mgegedano unaweza data na stress za maisha, acha wakunjane
 
Kwahiyo mkuu kazi yako kupiga puchu halaf kama we ni me hiyo tabia sio nzuri ya kufatilia jirani zake fanya mambo yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom