Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wewe siyo kapi? Mbona hakuna anaye kutafuta?wapinzani wanahaha kusaka makapi
Wewe siyo kapi? Mbona hakuna anaye kutafuta?wapinzani wanahaha kusaka makapi
Mkuu umepitia National service na chuo cha chama Kivukoni?Kama huna si bora kuzungumza.
Ahaaaaaa mabigWachana na huyo kwangu pakavu tia mchuzi wa lumumba
Simetimes huwa nawaza sana,kuwa ina maana nchi ina watu kibao wana ubongo "topetope" hivi.Aisee hizi post mnazozianzisha humu Lumumba nafikiri hata nyie uwa mnajicheka
Umevurugwa wewe!Leo bundle limekata dadeeeki
Umevurugwa wewe!
Hakuna kitu hicho chama cha kusifiana ty na ubabe mwingi,wala watu hawakikubaliHuwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.
Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.
Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar
Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Kaa chini ufikiri kuliko kukubali propaganda za wachumia tumbo kam Mmawia!Hakuna kitu hicho chama cha kusifiana ty na ubabe mwingi,wala watu hawakikubali
Utapata tabu sana!Vipi Chakubanga kasha kupatia ka jero angalau nawe uonekane jf?
Utapata tabu sana!
Utatumwa mihogo ya kukaanga na wapwa zako mpaka lini!Yaani kwa bundle ya jero uliyopewa na Chakubanga ndiyo inifanye nipate taabu?
CCM chma la hovyoo!Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.
Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.
Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar
Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Kutoka chama cha wakulima na wafanyakazi Hadi kuwa kampuni binafsi.Hii ni evolution.Ndio maana miaka nenda hamna hoja za kumtoa mfalme mswati anamtayarisha mwanawe kuongoza saccos!
Wote ni Mateka check walivonyeshewa mvua Hadi wanalia.Yaani huwa nikifikiria ule uhuni uliofanyika katika zile chaguzi ndogo - kweli CCM hamna kitu kabisa.
Chama chakavu kinaishi kwa nguvu ya polisiCCM chma la hovyoo!
Jaribu kuikosoa CCM na viongozi wake uone moto wakeHuwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.
Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.
Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar
Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
R.I.P Chacha wangweJaribu kuikosoa CCM na viongozi wake uone moto wake