Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

Aisee hizi post mnazozianzisha humu Lumumba nafikiri hata nyie uwa mnajicheka
Simetimes huwa nawaza sana,kuwa ina maana nchi ina watu kibao wana ubongo "topetope" hivi.
Yani unafungua ukiamini labda kuna vitu haujawahi kudhania,mwishowe unakuja kukuta "mauji uji" tu hayana ladha😃😃😃.
 
Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.

Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.

Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar

Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Hakuna kitu hicho chama cha kusifiana ty na ubabe mwingi,wala watu hawakikubali
 
Yaani huwa nikifikiria ule uhuni uliofanyika katika zile chaguzi ndogo - kweli CCM hamna kitu kabisa.
 
Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.

Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.

Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar

Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
CCM chma la hovyoo!
 
Yaani huwa nikifikiria ule uhuni uliofanyika katika zile chaguzi ndogo - kweli CCM hamna kitu kabisa.
Wote ni Mateka check walivonyeshewa mvua Hadi wanalia.
Wakimaliza kuwashughulikia wapinzani watakugeukieni.Leo maccm yanashughulikiwa kweli kweli.
 
Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.

Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.

Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar

Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Jaribu kuikosoa CCM na viongozi wake uone moto wake
 
Back
Top Bottom