mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,841
- 3,476
kuna msichana mmoja nilimpenda sana sikufanya nae mapenzi kwani nilijua nitakuja kumuoa kwa uchungu alibikiriwa na kijana mmoja hivyo akanitosa nilipata uchungu sana kwani nilikuwa nampenda tangu mwaka 2005 hadi leo sijatafuta msichana mwingine ila mwezi uliopita nimekutana na dada mmoja hapa chuoni anafanana kila kitu ambacho nilikuwa napenda kwa yule wa kwanza rangi, kutembea, macho, pozi, sauti tabasani hadi maumbile kwa kweli amenikosha sana ama hakika watu wanafanana jamani