Hapo umemaanisha nini? au ulikuwa unajibu sms ukasend humu kimakosa?Unamuonaje unapokuwa karibu naye? Jaribu kusoma interest zake na ujue nini anapenda na nini hapendi. Ukiona anakuja usimuache akuzoee saaanaa, mpe kweli mapema. Dah, hii ni ajabu.
Kwa wale msioelewa hiyo lugha hapo juu chukua tafsiri hapa chini(hasa mhusika isije kua umeweka jina magumashi jamaa akajua wa poti kaamua kukupa mchongo ki-hom-hom):
Tacho nkohane iryogho mbane = ndugu yangu ukimpatia nafasi safari hii huyo akaingia chumbani kwako Mbane.
umwiseke uyo kama nomo hachele nola mwimuki = usimchekee tena huyo kama noma acha na iwe noma safari hii
bhunyoobhu kabhisa = malizana nae kila kitu kabisa
Hai oghosoma kana? = kwani amesoma sana kukuzidi hivyo una muogopa?
Uni kumulima Nde = yani ukishampata tu basi wako huyo milele atanasa hapo kwako hatoki
omoka gho kabhere = amka(changamka) kijana wangu usiniangushe.
kuna msichana mmoja nilimpenda sana sikufanya nae mapenzi kwani nilijua nitakuja kumuoa kwa uchungu alibikiriwa na kijana mmoja hivyo akanitosa nilipata uchungu sana kwani nilikuwa nampenda tangu mwaka 2005 hadi leo sijatafuta msichana mwingine ila mwezi uliopita nimekutana na dada mmoja hapa chuoni anafanana kila kitu ambacho nilikuwa napenda kwa yule wa kwanza rangi, kutembea, macho, pozi, sauti tabasani hadi maumbile kwa kweli amenikosha sana ama hakika watu wanafanana jamani
kuna msichana mmoja nilimpenda sana sikufanya nae mapenzi kwani nilijua nitakuja kumuoa kwa uchungu alibikiriwa na kijana mmoja hivyo akanitosa nilipata uchungu sana kwani nilikuwa nampenda tangu mwaka 2005 hadi leo sijatafuta msichana mwingine ila mwezi uliopita nimekutana na dada mmoja hapa chuoni anafanana kila kitu ambacho nilikuwa napenda kwa yule wa kwanza rangi, kutembea, macho, pozi, sauti tabasani hadi maumbile kwa kweli amenikosha sana ama hakika watu wanafanana jamani
ukimpata hakikisha unakula 2ndi mapeeeema.
kuna msichana mmoja nilimpenda sana sikufanya nae mapenzi kwani nilijua nitakuja kumuoa kwa uchungu alibikiriwa na kijana mmoja hivyo akanitosa nilipata uchungu sana kwani nilikuwa nampenda tangu mwaka 2005 hadi leo sijatafuta msichana mwingine ila mwezi uliopita nimekutana na dada mmoja hapa chuoni anafanana kila kitu ambacho nilikuwa napenda kwa yule wa kwanza rangi, kutembea, macho, pozi, sauti tabasani hadi maumbile kwa kweli amenikosha sana ama hakika watu wanafanana jamani
Na huyo usimmege kama kawaida yako wewe si muadilifu, Subiri macho kuona wamrukie kama yule wa kwanza (pacha wake kivuli) halafu urudi tena hapa JF kuendeleza hadithi hii, yaani itapoishia hadithi hii wakikutenda ndio uanzia hapo kama muendelezo wake. AMKA UKIIZUBAA WAJANJA WATAKUMEGEA WACHUMBA ZAKO HADI UKOME
kuna msichana mmoja nilimpenda sana sikufanya nae mapenzi kwani nilijua nitakuja kumuoa kwa uchungu alibikiriwa na kijana mmoja hivyo akanitosa nilipata uchungu sana kwani nilikuwa nampenda tangu mwaka 2005 hadi leo sijatafuta msichana mwingine ila mwezi uliopita nimekutana na dada mmoja hapa chuoni anafanana kila kitu ambacho nilikuwa napenda kwa yule wa kwanza rangi, kutembea, macho, pozi, sauti tabasani hadi maumbile kwa kweli amenikosha sana ama hakika watu wanafanana jamani