Haki sawa

mkuu hapo una kazi. Akipata ujauzito huyo heeee utaisoma namba...

Hakika, ujauzito wa siku izi ni fimbo kwao ya kutudekea. Utadhani wao hawakuwa mimba. Hii mideko mideko nimeanza kuiona cku izi. Ukiwahoji wao kwa hoja nzito, wanajibu kiwepec kuwa wao dijitali nasi bado analojia.
 
Hapana..... kuandaa chakula ni wajibu wa Mke kiafrika. Hoja yako ni ipi hasa ktk hili??!!

Kuandaa chakula ni ihsani yake tu lakini sio akiacha umuone kakosea. Mke akikataa kunyonyesha mtoto wako basi hana kosa, ni mtoto wako atakama amemzaa yeye
 
mmhh, hata hiyo haki sawa sasa imepitiliza. Kuosha hvyo vyombo tu anaona shida na kununua nyama. Akipata mtoto ataishije? Anaweza kukupa umnyonyeshe kabisa kisa haki sawa

Mwambie huyo! na asubiri kunyonyesha tu, na siku mkewe akimwambia leo avae kitenge atavaa.
 

Mhh..yote mahaba hayoooo..
 
Kuandaa chakula ni ihsani yake tu lakini sio akiacha umuone kakosea. Mke akikataa kunyonyesha mtoto wako basi hana kosa, ni mtoto wako atakama amemzaa yeye

Oook, hiyo haina neno. Nami sikumlazimisha kufanya iyo mambo
 
Oook, hiyo haina neno. Nami sikumlazimisha kufanya iyo mambo

Unatakiwa umwambie "samahani mke wangu naomba uandae chakula" akikataa basi ingia jikoni na umpakulie kiroho safi. Kitu ambacho hatakiwi kukataa ni MOJA tu, haki ya ndoa
 
mmhh, hata hiyo haki sawa sasa imepitiliza. Kuosha hvyo vyombo tu anaona shida na kununua nyama. Akipata mtoto ataishije? Anaweza kukupa umnyonyeshe kabisa kisa haki sawa

Ha ha ha! teh teh teh ! kwi kwi kwi ! OMG!
 
Aibu aibu..... nilimsema mpaka akanikoma Jana. Akapanga vitu vyake eti anarudi kwao. Nikamwambia akasimulie yaliyotokea bila kupotosha lolote, akaogopa na kurudi ndani....
Namuandalia somo lake LA wajibu wake wa ndani!!!
Hii sasa kali.
Pasaka naona ilikuja na mambo yake.
 
Unatakiwa umwambie "samahani mke wangu naomba uandae chakula" akikataa basi ingia jikoni na umpakulie kiroho safi. Kitu ambacho hatakiwi kukataa ni MOJA tu, haki ya ndoa

Huo ufala sasa..... demokrasia ikizidi ni ujinga km sio utumwa. Hakuna jipya kk , yote ni mapokeo. Nyajibu za kila siku kifamilia ziko wazi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…