Watapita kama vile hawajauona huu uzinaomba ieleweke hii ndiyo maana halisi ya haki sawa View attachment 1178301
😂😂😂Mkuu naona mmetaka tusichangie hapa.Watapita kama vile hawajauona huu uzi
hapo kwenye pay bills wanawake kama nawaona walivyosonya. shubamitinaomba ieleweke hii ndiyo maana halisi ya haki sawa View attachment 1178301
hahahahahah wameenda kudangaaONGEZA SAUTI
ni kweli ila tatizo mwanamke akishaona umempa hiyo 50 anayotaka anaanza kulilia 60. na hapo ndipo unaanza kuona mahusiano yanaanza kuyumbaNaona mnataka tuwadanganye tu hapa.
Nionavyo kikubwa kuishi vile ambavyo kila wawili wanaona hiyo ndio 50/50 yao.
Nionavyo maelewano ndio kitu kikubwa Mkuu na ikitokea kila mmoja akaridhia basi wala hakuna atakayehitaji zaidi.ni kweli ila tatizo mwanamke akishaona umempa hiyo 50 anayotaka anaanza kulilia 60. na hapo ndipo unaanza kuona mahusiano yanaanza kuyumba