A
Anonymous
Guest
Tunataka usawa, kwa wanafunzi wote na siyo udanganyifu unaendlea kutendeka maamuzi yasiyo na usawa ikiwa wote tumestahili adhabu.
Ni kivipi wachache watumikie adhabu na wengine kusamehewa pasipo sababu za msingi.
Je, kuna vigezo tofauti baina ya wanafunzi ili kutumikia adhabu, au ni mazingira fulani yametengenezwa kuondoa usawa.
Tunaomba majibu sisi tulio wanyonge tusio fahamika kwa mtu yeyote
Ni kivipi wachache watumikie adhabu na wengine kusamehewa pasipo sababu za msingi.
Je, kuna vigezo tofauti baina ya wanafunzi ili kutumikia adhabu, au ni mazingira fulani yametengenezwa kuondoa usawa.
Tunaomba majibu sisi tulio wanyonge tusio fahamika kwa mtu yeyote