Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,424
- 2,519
😂😂😂mazinzi bana😂😂😂😂Mkuu binti wako si tayari yupo chuo kikuu sasa
😂😂😂mazinzi bana😂😂😂😂Mkuu binti wako si tayari yupo chuo kikuu sasa
Hivi binti wa miaka 9 anakua na matiti gani mpaka baba wa duka ashike kifuani, hii kamba nimeikataa bana labda matakoni huko ulikosema lakini kifuani UONGO
kuna jamaa alikuwaga ananiambia eti Mh Mudi nae alichukuaga umri huo huo.Usimwache huyo mtu mzima h***o alyekosa adabu. Tena ashindwe kabisa. Binti miaka 9?? Kama sio laana ni nini? Jamani wakati mwingine inabidi kumwogopa Mungu!
Mama D kumbe ulikuwepo 2011?khaa!
nimepata hasira ghafla!!!!!!!!!!
asiachwe huyo muuaji barazuli mkubwa!
nitarudi na jibu muafaka baada ya muda
Mtengeneze kisaikolojia mtoto wako kwa kumfanya kama rafiki yako sana kisha mwambie huyo mzee anania ya kumuharibia maisha sasa mwambie mtoto twende kituo cha polisi ili tukamsemehe. Ukifika polisi dawati la jinsia nenda kaombe ushauri na watashirikiana na wewe na mtoto kumuwekea mtego huyo mzee ili ushahidi uonekane bila ya kumuathiri ukuaji wa afya ya akili ya mtoto baada ya hapo sheria itafuata mkondo wakeHabari wana JF!!
Kama title inavyosema ni kabinti kangu yaani katoto kangu ka kike kenye umri wa miaka 9.5 sasa.
Majuzi nimekaa nako kwenye gari nikisubiri bidhaa nilizoagiza huku nataniana nae, kiukweli nampenda sana mwanangu ndiyo maana akawa rafiki yangu mkubwa!!!
Katika kucheza cheza pale akanitupia swali, namnukuuHivi baba kwanini yule baba dukani kwa kina Robu hupenda kuniita ita kule uani kwao halafu anapenda kunishika shika matakoni na kifuani?Kwani ndo nini hivyo?
Kidogo nianguke kwa presure.....huyo baba mwenyewe ni mtu mzima sawa tu na mzazi wangu mimi!!! Na sikumjibu kitu ila nikamwambia nitakuelezea nyumbani tukifika, mama mtu akataka kumpiga but nikamwambia no!! Mwache
Nilijaribu kumdadisi kama kuna anachopewa na huyo mzee akajibu hajawahi kupewa kitu chochote zaidi ya pipi na gumz basi.
Natafuta namna ya kumjibu na kumwelekeza madhara yake na kuweka mtego wa kumnasa fataki!!
Mama hataki mtoto aelekezwe kwa sasa juu ya swala zima la mapenzi kisa bado mdogo sana!!! Wana JF mnadhani ni sahihi?
Nimeweka hapa pia kama tahadhari kwetu wana JF coz najua wengi wetu hapa ni wazazi na sikujua jambo kama hili lingeweza linitokee kwangu ila ndiyo hivyo limenifika!! So take care na watoto wetu jamani




Tupe mrejesho bado hajabanduliwa au bado hajaolewa maanaaa!????Mtengeneze kisaikolojia mtoto wako kwa kumfanya kama rafiki yako sana kisha mwambie huyo mzee anania ya kumuharibia maisha sasa mwambie mtoto twende kituo cha polisi ili tukamsemehe. Ukifika polisi dawati la jinsia nenda kaombe ushauri na watashirikiana na wewe na mtoto kumuwekea mtego huyo mzee ili ushahidi uonekane bila ya kumuathiri ukuaji wa afya ya akili ya mtoto baada ya hapo sheria itafuata mkondo wake
Duuuh harafu sikusoma tarehe ya uzi kumbe toka May 5 mwaka 2011 hawa waliocomment hivi karibuni ndio wameuamsha uzi nikafikiri ni tukio la hivi karibuni 😂😂😂🏃🏃🏃🏃Mkuu mbona mtoto mwenyewe saivi kashakuwa jimama
Dogo wa jamaa saivi ana nyundo 21 kasoro nadhani.. Kawa m'mama na nadhani yupo chuo au demu wa mtu saivi.Duuuh harafu sikusoma tarehe ya uzi kumbe toka May 5 mwaka 2011 hawa waliocomment hivi karibuni ndio wameuamsha uzi nikafikiri ni tukio la hivi karibuni![]()
Ingekua mimi sijui saiv ningekua pale Segerea natumikia kifungoni au sijui ndiyo nakaribia kutoka, kwa kumfanyia mtu tukio baya sana katika history ya maisha. Nachukia sana kuona mwanaume anafukuzia vitoto vidogo hivi ambavyo hata havijui kufua nguo za ndani.Habari wana JF!!
Kama title inavyosema ni kabinti kangu yaani katoto kangu ka kike kenye umri wa miaka 9.5 sasa.
Majuzi nimekaa nako kwenye gari nikisubiri bidhaa nilizoagiza huku nataniana nae, kiukweli nampenda sana mwanangu ndiyo maana akawa rafiki yangu mkubwa!!!
Katika kucheza cheza pale akanitupia swali, namnukuuHivi baba kwanini yule baba dukani kwa kina Robu hupenda kuniita ita kule uani kwao halafu anapenda kunishika shika matakoni na kifuani?Kwani ndo nini hivyo?
Kidogo nianguke kwa presure.....huyo baba mwenyewe ni mtu mzima sawa tu na mzazi wangu mimi!!! Na sikumjibu kitu ila nikamwambia nitakuelezea nyumbani tukifika, mama mtu akataka kumpiga but nikamwambia no!! Mwache
Nilijaribu kumdadisi kama kuna anachopewa na huyo mzee akajibu hajawahi kupewa kitu chochote zaidi ya pipi na gumz basi.
Natafuta namna ya kumjibu na kumwelekeza madhara yake na kuweka mtego wa kumnasa fataki!!
Mama hataki mtoto aelekezwe kwa sasa juu ya swala zima la mapenzi kisa bado mdogo sana!!! Wana JF mnadhani ni sahihi?
Nimeweka hapa pia kama tahadhari kwetu wana JF coz najua wengi wetu hapa ni wazazi na sikujua jambo kama hili lingeweza linitokee kwangu ila ndiyo hivyo limenifika!! So take care na watoto wetu jamani