Haka ndiko kabinti kangu...

Haka ndiko kabinti kangu...

mkuu hilo fataki ni kuliwekea mtego...!! achapwe mbaya alafu ndio mtupe polisi...
 
Kingine, jaribu kutomwachia mtoto wako awe anatembea mitaani peke yake. Ndio maana siku hizi familia zinawatoa watoto out week ends maana mitaani kumechafuka. Funga geti kabisa hamna mtoto kutoka. Kama ni kucheza acheze shule kwenye uangalizi. Inabidi tuishi kama ulaya hamna cha jirani wala nini maana majirani wenyewe ndio hao wanatuharibia watoto
 
Nianze kwa kukupa hongera kwa kutengeneza mahusiano mazuri na binti yako, mpaka akaweza kuwa wazi kwako.

Kwa kweli inaleta hasira sana kwa watu kama hawa...... hawatakiwi kuwepo kabisa kwenye jamiii!!! Naomba tu mtafute njia ya kuweza kumkamata, ili sheria iweze kumpa haki yake.

Kuhusu kuongea na mtoto, miaka 9 sio mtoto mdogo; ongeeni naye, Mungu awape hekima ili jinsi ya kumwelimisha akawaelewe.

Pole sana kwa kweli!
 
Mshenzi sana huyo kenge,anatakiwa abakwe tu kisha anyofolewe nonihino kwa plaizi,ukizubaa utakuta kamharibu mtoto.
 
Mshenzi sana huyo kenge,anatakiwa abakwe tu kisha anyofolewe nonihino kwa plaizi,ukizubaa utakuta kamharibu mtoto.

Ha ha ha u made my day praizi tena dah nimecheka kweli wakati sitakiwi kufanya hivyo
 
umefanya vizuri sana kumkataza mke wako asimpige mtoto wako,huyo mzee pengine ndio tabia yake,pengine sio kwa huyo tu bali kwa watoto wengine.kwa nini msimshitaki?na kumuumbua hadharani kwa tabia zake chafu.watoto wengine wakifanyiwa hivyo ina wa affect katika maisha yao.huyo mama awe anajaribu kuwa karibu sana na mtoto wake.unaona kitu kama hicho kakueleza wewe badala ya mama yake au kuwaeleza wote wawili kwa pamoja.mama asiwe mkali kwa mtoto kupitiliza,ila akiwa na issue yoyote ile mtoto awe mwepesi kumwambia mama yake
 
nenda kareport police,wamchunguze! pia nenda umkanye na tabia yake hio asiwavictimize watoto wengine
 
hiyo kazi,nakushauri kuwa makini,hamna haja ya kumnasa fataki,mzibiti kabint kako halafu make sure kanasahau yaliyotokea,halafu nyie waswahili mbona vitoto vyenu vinapenda sana kuzurura?
 
hiyo kazi,nakushauri kuwa makini,hamna haja ya kumnasa fataki,mzibiti kabint kako halafu make sure kanasahau yaliyotokea,halafu nyie waswahili mbona vitoto vyenu vinapenda sana kuzurura?

Ewe muthungu sio tunapenda wazurure!kwani wewe mbritish wafanyaje vitoto vyako avizururi?
 
azima ak 47 ukamtwange ya moyo naafe asiombe hata maji ya kunywa anaharibu taifa hilo la kesho,na mtoto mwelimishe mapema athari za ngono mwana kidogo kidogo ataelewa!mkanye asiende kwa hilo zee fataki na mtu yeyote akimfanyia vitendo km hivyo aripoti haraka kwako au kwa mama,af mlinde binti yako.utandawazi umeharibu mambo a.KAMA KWELI UNAMPENDA UTAMLINDA
 
Nimepatwa na hasira kiasi kwamba hadi nimeshindwa kuchangia
 
Dah! Pole sana,hongera kwa ukaribu ulio nao kwa mtoto mengi umeshaelezwa zingatia kuongea na binti yenu kumpa ABC za maisha,pia usimwekee huyo mzee mtego mweleze ukweli wote na umpe warning........
 
mkuu kwa jinsi nilivyokasirika....ningeomba tu nikuazime beretta yangu uitumie, sitakudai hata shilingi na nitakuletea mwenyewe niambie uko wapi
 
Dah! Pole sana,hongera kwa ukaribu ulio nao kwa mtoto mengi umeshaelezwa zingatia kuongea na binti yenu kumpa ABC za maisha,pia usimwekee huyo mzee mtego mweleze ukweli wote na umpe warning........

Upo mamito.......
Aisee umeona hawa watoto wetu wanavyowindwa na wanyang'anyi.
Kuna haja ya kuwaombea tangu wakiwa tumboni, na huko kwenye ulimwengu wa roho kabla hawajaja huku.
 
Upo mamito.......
Aisee umeona hawa watoto wetu wanavyowindwa na wanyang'anyi.
Kuna haja ya kuwaombea tangu wakiwa tumboni, na huko kwenye ulimwengu wa roho kabla hawajaja huku.
Aisee!!! Hebu wachunge banaaa
 
Mh!... Kuzurura tena??? Samahani mzungu next time tutawachapa bakora ili waache kuzurura. Afu sio vitoto bana, ni watoto mkuu.
hiyo kazi,nakushauri kuwa makini,hamna haja ya kumnasa fataki,mzibiti kabint kako halafu make sure kanasahau yaliyotokea,halafu nyie waswahili mbona vitoto vyenu vinapenda sana kuzurura?
 
mkuu hilo fataki ni kuliwekea mtego...!! achapwe mbaya alafu ndio mtupe polisi...

Mwanaume mwenzenu huyo.............
Usijekuta hata rafiki/ndugu ya mtu hapa wa karibu..................
Mi hapa ndo huwa siwaelewagi viumbe wanaoitwa wanaume duniani.
 
Aisee!!! Hebu wachunge banaaa

Yani aisee kitoto cha miaka tisa kinaweza kukujia na mimba ya nyangau mzee ati.
Sasa jamani tusiwatume hata dukani, dah.................

Ningekua na uwzo ningehamisha wanaume kwenye sayari nyingine...........
Wawe wanakuja huku kwa sababu maalumu tu.
 
Back
Top Bottom