Tele kwa Tele
New Member
- Aug 23, 2013
- 3
- 0
Tupa kuleeee
Anataka asikilizwe tu, watoto wa kike bwana.
Sasa atajuaje kama unalalamika? Maana nimemsearch humu JF ili nikusaidie kumwambia bahati mbaya hajajiunga JF. Labda yupo facebook kwa watoto!Habari za mwisho wa mwezi? Mwenzenu nakerwa sana na hii tabia sijui ndo ubahili sijui mfulio au laa. Kuna ofisi mate kila siku anakuja kazin na noti ya elfu 10. Yeye muda wote utamkuta na hiyo noti kutwa yeye ni kuomba niazime buku, una efu 2 mara moja, nikopeshe huku kaishika ile noti. Yaani inamana mpaka siku inaisha yeye hapati chenji tu? mbaya zaidi unakuta badae hakupi hivo vijihela anavoazima kesho tena hivyo hivyo na muda mwingine anasema eti nina hela kubwa. Imekua too much sasa nikimnyima ninakosa?
asanteee ila umesahau kutaja rangi ya lipstik! nasagesti iwe nyeupe peee ili hata nikiwa kweny giza totoro utaziona lips so utajua msafishaji mwenzangu yule palee!
tokapa umejishobodoa weeeeee sasahivi .....
Hahahahaha, mara nyingi kamsemi kao ni " una buku au jero ya karibu ntakurudishia baadae nkunchenchi yangu"Wapo wengi wa ivo.
Habari za mwisho wa mwezi?
Mwenzenu nakerwa sana na hii tabia sijui ndo ubahili sijui mfulio au laa. Kuna ofisi mate kila siku anakuja kazin na noti ya elfu 10. Yeye muda wote utamkuta na hiyo noti kutwa yeye ni kuomba niazime buku, una efu 2 mara moja, nikopeshe huku kaishika ile noti.
Yaani inamana mpaka siku inaisha yeye hapati chenji tu? mbaya zaidi unakuta badae hakupi hivo vijihela anavoazima kesho tena hivyo hivyo na muda mwingine anasema eti nina hela kubwa. Imekua too much sasa nikimnyima ninakosa?
i'm not sure.!
fresh tu. una jero hapooo???
aisee nimekosa chenchi nilipoenda kununua vocha nipe buku mbili nitakupa kabla hatujatoka job.