Haji Manara na Rushaynah "Kujifanya Wamerudiana" inaweza kuwa mpango wa CCM kututoa mchezoni Sakata la Viongozi wa CHADEMA na kujiuzulu kwa Polepole

Haji Manara na Rushaynah "Kujifanya Wamerudiana" inaweza kuwa mpango wa CCM kututoa mchezoni Sakata la Viongozi wa CHADEMA na kujiuzulu kwa Polepole

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Wakuu!

Hili la Haji Manara na mke wake wa zamani Rushaynah "kujifanya wamerudiana" linapaswa kuangaliwa kwa jicho la pili.

Ni kama sehemu ya mkakati wa kupotosha fikra za Watanzania na kuwatoa kwenye reli ya mjadala mzito unaoendelea kuhusu mustakabali wa Taifa letu, hususan sakata la viongozi wa juu wa CHADEMA – Mtaalamu wa Fedha na Uwekezaji, Leonard Magere, na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Brenda Rupia ambao wote kwa pamoja wa Jeshi la Polisi limesema linawashikilia.

Wakati huo huo, Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, naye ametangaza kujiuzulu rasmi kwa barua aliyomwandikia Rais Samia.

Ni wazi kuwa kuna juhudi za makusudi za kuhamisha mjadala wa Kitaifa kutoka kwenye masuala ya msingi kwenda kwenye vitu vya hovyo.

Screenshot 2025-07-14 081534.png
 
Wakuu!

Hili la Haji Manara na mke wake wa zamani Rushaynah "kujifanya wamerudiana" linapaswa kuangaliwa kwa jicho la pili.

Ni kama sehemu ya mkakati wa kupotosha fikra za Watanzania na kuwatoa kwenye reli ya mjadala mzito unaoendelea kuhusu mustakabali wa Taifa letu, hususan sakata la viongozi wa juu wa CHADEMA – Mtaalamu wa Fedha na Uwekezaji, Leonard Magere, na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Brenda Rupia ambao wote kwa pamoja wa Jeshi la Polisi limesema linawashikilia.

Wakati huo huo, Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, naye ametangaza kujiuzulu rasmi kwa barua aliyomwandikia Rais Samia.

Ni wazi kuwa kuna juhudi za makusudi za kuhamisha mjadala wa Kitaifa kutoka kwenye masuala ya msingi kwenda kwenye vitu vya hovyo.


Sasa kwa nini umeileta humu kuisambaza? Anyway, mtatolewa kwenye mstari wapenda udaku.
 
Hata watembee nekidi mtaa wa Msimbazi saa sita mchana moto hauzimiki
 
Wakuu!

Hili la Haji Manara na mke wake wa zamani Rushaynah "kujifanya wamerudiana" linapaswa kuangaliwa kwa jicho la pili.

Ni kama sehemu ya mkakati wa kupotosha fikra za Watanzania na kuwatoa kwenye reli ya mjadala mzito unaoendelea kuhusu mustakabali wa Taifa letu, hususan sakata la viongozi wa juu wa CHADEMA – Mtaalamu wa Fedha na Uwekezaji, Leonard Magere, na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Brenda Rupia ambao wote kwa pamoja wa Jeshi la Polisi limesema linawashikilia.

Wakati huo huo, Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, naye ametangaza kujiuzulu rasmi kwa barua aliyomwandikia Rais Samia.

Ni wazi kuwa kuna juhudi za makusudi za kuhamisha mjadala wa Kitaifa kutoka kwenye masuala ya msingi kwenda kwenye vitu vya hovyo.

Wala aujakosea hiyo nayo ni miongoni mwa zile mbinu zao 361 za wao kushinda uchaguzi.
 
Naweka akiba ya maneno ila Kwa kifupi kelele zote zinazopigwa mjini siziamini bado
 
Wakuu!

Hili la Haji Manara na mke wake wa zamani Rushaynah "kujifanya wamerudiana" linapaswa kuangaliwa kwa jicho la pili.

Ni kama sehemu ya mkakati wa kupotosha fikra za Watanzania na kuwatoa kwenye reli ya mjadala mzito unaoendelea kuhusu mustakabali wa Taifa letu, hususan sakata la viongozi wa juu wa CHADEMA – Mtaalamu wa Fedha na Uwekezaji, Leonard Magere, na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Brenda Rupia ambao wote kwa pamoja wa Jeshi la Polisi limesema linawashikilia.

Wakati huo huo, Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, naye ametangaza kujiuzulu rasmi kwa barua aliyomwandikia Rais Samia.

Ni wazi kuwa kuna juhudi za makusudi za kuhamisha mjadala wa Kitaifa kutoka kwenye masuala ya msingi kwenda kwenye vitu vya hovyo.

kuwatoa mchezoni wajinga kama wewe, na wenzako, yaani kupost tu inaonekana vipi ulivyo mjinga, na unavyo shinda kuwafuatilia hao wapunbavu.
 
Wtz ndio mnakuza ujinga wewe ukiwaacha na mambo yao yatakutoaje kwenye mambo ya msingi... Yaani hizo takataka zinakupa nini mpaka utolewe kwenye mambo sensitive.
 
Vitoto vya 2000 labda ndo vitatoka kwenye reli na wakazi wa dasalama maana ndo wapenda udaku
 
Wakuu!

Hili la Haji Manara na mke wake wa zamani Rushaynah "kujifanya wamerudiana" linapaswa kuangaliwa kwa jicho la pili.

Ni kama sehemu ya mkakati wa kupotosha fikra za Watanzania na kuwatoa kwenye reli ya mjadala mzito unaoendelea kuhusu mustakabali wa Taifa letu, hususan sakata la viongozi wa juu wa CHADEMA – Mtaalamu wa Fedha na Uwekezaji, Leonard Magere, na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Brenda Rupia ambao wote kwa pamoja wa Jeshi la Polisi limesema linawashikilia.

Wakati huo huo, Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, naye ametangaza kujiuzulu rasmi kwa barua aliyomwandikia Rais Samia.

Ni wazi kuwa kuna juhudi za makusudi za kuhamisha mjadala wa Kitaifa kutoka kwenye masuala ya msingi kwenda kwenye vitu vya hovyo.

Hatutoki kwenye agenda muhimu. Spana ziko palepale
 
Wakuu!

Hili la Haji Manara na mke wake wa zamani Rushaynah "kujifanya wamerudiana" linapaswa kuangaliwa kwa jicho la pili.

Ni kama sehemu ya mkakati wa kupotosha fikra za Watanzania na kuwatoa kwenye reli ya mjadala mzito unaoendelea kuhusu mustakabali wa Taifa letu, hususan sakata la viongozi wa juu wa CHADEMA – Mtaalamu wa Fedha na Uwekezaji, Leonard Magere, na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Brenda Rupia ambao wote kwa pamoja wa Jeshi la Polisi limesema linawashikilia.

Wakati huo huo, Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, naye ametangaza kujiuzulu rasmi kwa barua aliyomwandikia Rais Samia.

Ni wazi kuwa kuna juhudi za makusudi za kuhamisha mjadala wa Kitaifa kutoka kwenye masuala ya msingi kwenda kwenye vitu vya hovyo.



Wanajua vitu gani watanzania tunapenda kusikia ila very soon haya mambo yataisha tu
 
Back
Top Bottom