kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kwa Utopolo kumashangilia manara leo ni ishara tosha kuthibitisha maneno ya manara mwenyewe kuwa yanga wote hawana akili isipokuwa baba yake na Mzee Kikwete.Kwani aliwaambia maneno wanapo yapima wanaona ni kweli ndio maana wamemchukua.
Kuna coach wao aliwahi kusema hawa jamaa ni kama manyani.Kwa hili la Manara ninamuelewa sana yule mwalimu
Kuna coach wao aliwahi kusema hawa jamaa ni kama manyani.Kwa hili la Manara ninamuelewa sana yule mwalimu