T Tui JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 5,696 Reaction score 7,659 Sep 1, 2025 #41 Kinoamiguu said: Je wajua kwamba ndiye mtu wa kwanza kabisa kuchambua mpira kwenye radio kwenye nchi hii ? Usiharibu brand za watu Click to expand... Umezaliwa mwaka gani?Mtu wa kwanza kuchambua mpira Tanzania ni Haji?Wacha vichekesho
Kinoamiguu said: Je wajua kwamba ndiye mtu wa kwanza kabisa kuchambua mpira kwenye radio kwenye nchi hii ? Usiharibu brand za watu Click to expand... Umezaliwa mwaka gani?Mtu wa kwanza kuchambua mpira Tanzania ni Haji?Wacha vichekesho
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 16,228 Reaction score 22,839 Sep 1, 2025 #42 Tui said: Umezaliwa mwaka gani?Mtu wa kwanza kuchambua mpira Tanzania ni Haji?Wacha vichekesho Click to expand... Nimezaliwa 1960 wewe?
Tui said: Umezaliwa mwaka gani?Mtu wa kwanza kuchambua mpira Tanzania ni Haji?Wacha vichekesho Click to expand... Nimezaliwa 1960 wewe?
T Tui JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 5,696 Reaction score 7,659 Sep 1, 2025 #43 Kinoamiguu said: Nimezaliwa 1960 wewe? Click to expand... Sasa unashindwa nini kujua kwamba Haji sio mtu wa kwanza kuchambua mpira Tanzania.Au umeingia mkenge na kuanza kufuatilia tambo zake akiwa Radio Uhuru kwamba yeye ndiye aliyeanzisha U pundit Tanzania?
Kinoamiguu said: Nimezaliwa 1960 wewe? Click to expand... Sasa unashindwa nini kujua kwamba Haji sio mtu wa kwanza kuchambua mpira Tanzania.Au umeingia mkenge na kuanza kufuatilia tambo zake akiwa Radio Uhuru kwamba yeye ndiye aliyeanzisha U pundit Tanzania?