Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Mi ni simba damu lakini sipendi huyu jamaa style yake ya usemaji, hafai kuwa msemaji wa club kubwa Kama Simba labda Ndondo Cup, huyu jamaa mwaka Jana alituaminisha tunashinda kesi huko FIFA na Yanga wataleta kombe kwa magoti Msimbazi.
Kila saa kuandika pumba kwenye mitandao ya jamii, kuna mengi ya kuzungumzia katika soka na kuna vilabu kibao ligi kuu, kwa msemaji wa timu kubwa kila siku kuzungumzia kikuku ni upungufu wa akili, tunataka hoja za msingi, vitu vya maana siyo kujadili vikuku.
Kila saa kuandika pumba kwenye mitandao ya jamii, kuna mengi ya kuzungumzia katika soka na kuna vilabu kibao ligi kuu, kwa msemaji wa timu kubwa kila siku kuzungumzia kikuku ni upungufu wa akili, tunataka hoja za msingi, vitu vya maana siyo kujadili vikuku.