Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,978
Huyu unaemuuliza ni mwanasimba mwenzio kama ulikua hujuiMgomo umeisha yanga?
Huyu unaemuuliza ni mwanasimba mwenzio kama ulikua hujuiMgomo umeisha yanga?
Sawa tumekusikiaSare ya mbao mshaanza maneno
Juz mlishnda tatu na akasema sana mkafurahia mnyooo
mbao nao sio wazuri mm ni yanga damu
Mi ni simba damu lakini sipendi huyu jamaa style yake ya usemaji,hafai kuwa msemaji wa club kubwa Kama simba labda Ndondo Cup,huyu jamaa mwaka Jana alituaminisha tunashinda kesi huko FIFA na yanga wataleta kombe kwa magoti msimbazi.
Kila saa kuandika pumba kwenye mitandao ya jamii,kuna mengi ya kuzungumzia katika soka na kuna vilabu kibao ligi kuu,kwa msemaji wa timu kubwa kila siku kuzungumzia kikuku ni upungufu wa akili,tunataka hoja za msingi,vitu vya maana siyo kujadili vikuku.
Nani kakwambia Manchester united haina msemaji Wa team ... Kama vitu hujui uliza ... Manchester INA mtu Wa mahusiano mitandaoni na ina mtu Wa PR kawaida,Msemaji wa manchester ni nani? Tuachane na ujinga wa wasemaji, wasemaji waende kwenye makongamano, soka letu tuliboreshe zaidi uwanjani.
Nani kakwambia Manchester united haina msemaji Wa team ... Kama vitu hujui uliza ... Manchester INA mtu Wa mahusiano mitandaoni na ina mtu Wa PR kawaida,
View attachment 593536
Mbao zenye thaman ya Bil 1.3 zinauzwa kwa shilingi mil 50 tu,zipo MWANZA.
Hapana,zina VIBALIZimeliwa na wadudu?
Hata mimi huwa ananiudhi sana yeye kila kitu anachukulia mipasho tu. Ndiye anayesababisha timu ikwame kupata ushindi juu ya kelele zake.
Mi ni simba damu lakini sipendi huyu jamaa style yake ya usemaji,hafai kuwa msemaji wa club kubwa Kama simba labda Ndondo Cup,huyu jamaa mwaka Jana alituaminisha tunashinda kesi huko FIFA na yanga wataleta kombe kwa magoti msimbazi.
Kila saa kuandika pumba kwenye mitandao ya jamii,kuna mengi ya kuzungumzia katika soka na kuna vilabu kibao ligi kuu,kwa msemaji wa timu kubwa kila siku kuzungumzia kikuku ni upungufu wa akili,tunataka hoja za msingi,vitu vya maana siyo kujadili vikuku.
Barua ina kilo 5 sijui walijaza maweBaru yenyewe wala haikwenda FIFA!
Kwahiyo acc ya Magu anaweza kupost chochote lzm kuwe na tofauti ya kiongozi na ww! Anachosema kiongozi kina reflect na taasisi anayoifuatilia.Sio account ya kazi Ile ni yake binafsi kuna muda inabidi tuwe tunaacha kushtumu Kwa mambo ya mtu binafsi
Haki yake mandhari havunji SheriaKwahiyo acc ya Magu anaweza kupost chochote lzm kuwe na tofauti ya kiongozi na ww! Anachosema kiongozi kina reflect na taasisi anayoifuatilia.