Haji Manara aipaisha ubora Yanga CAF

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,687
5,444
Hakika Manara ni mmoja tu simba mmepoteza mtu hapa, toka Bugatti amejunga na vinara wa ligi kuu tz bara yanga.

Amefanikiwa kuipaisha pakubwa clabu hiyo kwenye viwango vya caf, ikumbukwe kuwa, yanga ilikuwa ya 304 kwa ubora barani Africa kabla ya kujiunga nao.

Kutokana na maneno yake yenye bashasha na press za mara kwa mara kumeifanya club hiyo kongwe nchini kupanda nafasi nne zaidi na sasa ipo nafasi ya 300 kwa ubora barani Africa ngazi ya vilabu.

Hii ni hatua kubwa san kwa mabigwa hao wa kihistoria nchini, niuombe uongozi wa yanga kuongeza bajeti zaidi kwenye kitengo cha press ili kuipa mafanikio zaidi club hiyo.
 
Daaaah kweli kabisa. Mtoto wako class akiwa wa 300 ndio kapanda kimasomo?
 
Jamaa liko very powerful and influential yaani unaambiwa jana wachezaji wote 11 wa simba ambao mikataba yao inaisha kiuunyoonge walimpigia simu kuomba kujiunga utopoloni albino likakataa katukatu tena simu ya manula ndo kabisa aliizima kwa hasira
Jamaa linajua sana kwa kweli
Huyu ndo alisema Hersi kaisha kamilisha malipo ya kumnunua chama na sasa anacho subiria ni press tu

Wana uto kama kawaida yao amira kidogo basi wakavimbaa, sikutaka kupoteza muda ku argue nikawaacha ili muda uje uamue

Haya baadaye ukweli ukajulikana kuwa Manara alikuwa anauthibitishia ulimwengu kua alichokisema lucy eymael kilikuwa sahihi na wala hakupaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu
 
Ushindi ni uwanjani na SI mdomoni. Siku zote clubs hupanda ngazi ya ubora wa kiwango cha soka africa na duniani kutokana na mataji wayapatayo na ushindi wa mechi wanazocheza uwanjani kimataifa na si vinginevyo, haijawahi kutokea duniani clubs kupanda ngazi ETI kwasababu ya msemaji wake wa club anaongea sana au anongea vizuri. Haijawahi kutokea na na haitatokea. Chezeni mpira uwanjani
 
Hakika Manara ni mmoja tu simba mmepoteza mtu hapa, toka Bugatti amejunga na vinara wa ligi kuu tz bara yanga.

Amefanikiwa kuipaisha pakubwa clabu hiyo kwenye viwango vya caf, ikumbukwe kuwa, yanga ilikuwa ya 304 kwa ubora barani Africa kabla ya kujiunga nao.

Kutokana na maneno yake yenye bashasha na press za mara kwa mara kumeifanya club hiyo kongwe nchini kupanda nafasi nne zaidi na sasa ipo nafasi ya 300 kwa ubora barani Africa ngazi ya vilabu.

Hii ni hatua kubwa san kwa mabigwa hao wa kihistoria nchini, niuombe uongozi wa yanga kuongeza bajeti zaidi kwenye kitengo cha press ili kuipa mafanikio zaidi club hiyo.
😅😅😅😅😅😅
 
Ushindi ni uwanjani na mdomoni. Siku zote clubs hupanga ngazi ya ubora wa kiwango cha soka africa na duniani kutokana na mataji wayapatayo na ushindi wa mechi wanazocheza uwanjani kimataifa na si vinginevyo, haijawahi kutokea duniani clubs kupanda ngazi ETI kwasababu ya msemaji wake wa club. Haijawahi kutokea na na haitatokea. Chezeni mpira uwanjani
Mleta mada kawapiga na kitu kizito utopolo, msome vizuri.
 
Back
Top Bottom