Hajawahi kutokea kama Jay Jay Okocha hapa Afrika

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
5,721
10,224
Augustine Azuka 'Jay Jay' Okocha, Mchawi na Hizi yake kutoka Enugu

1710747247216.jpg
Usiku mmoja kule Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria, Jimboni Enugu ile Agosti 14, 1973 alizaliwa Mchawi mmoja wa soka wakuitwa Augustine, ndio ni Augustine tu

Mitaa ya Enugu haikutaka kumwacha salama na jina lake la Augustine, wakaona kuna haja ya kumpachika jina la Jay Jay, ndipo wazungu na dunia tukaona isiwe kazi acha tumuite Jay Jay Okocha.

Mama yake Mzazi anakumbuka akimtuma dukani lazima atachelewa kurudi, atabetua chochote atakachokuta njiani, atasahau alichotumwa kama ataona watoto wanalipiga kandanda, alikua na uwezo wa kupiga danadana mpaka kitunguu au nyanya. 😊

Mechi za mtaani kwao ziligubikwa na majonzi kwa wapinzani, chenga zake zilitegua nyonga, watoto walivishwa na kuvuliwa makanzu, alifanya kila aina ya utukutu wa soka "football crimes".

Ushuhuda na maajabu waliokuwa wakishuhudia huko Enugu, Kusini Mashariki mwa Nigeria ulipaswa kutazamwa duniani kote, haikutosha klabu za Nigeria kuona mabalaa yake, bali burudani hii ilihamia duniani kote.

Jioni moja ya 1990, Okocha anasafiri mpaka Ujerumani Magharibi, kipindi hicho wametoka kutwaa kombe la dunia, Okocha safari yake ilikuwa kwenda kumpa salaam mshikaji wake alikua anakipiga Borussia Neunkirchen, ndipo hapa dunia ilimtambua.

Okocha alifika mazoezini kwa mshikaji wake, alikaa tu pembeni kutazama mazoezi yao, ila baadae Kocha alimualika afanye nao mazoezi, kilichotokea baada ya pale ni kusaini mkataba😂 ndipo hapo safari ilianza pale Bundesliga.
.
Alisainiwa baadae Frankfurt ya Jupp Hynkes, alifanya maajabu makubwa sana, aliwahi kupiga bao mbele ya Oliver Kahn kwa kumzunguka mara tatu🙌 moja kati ya bao bora mpaka kesho Ujerumani, fundi mmoja Mchawi kutoka Afrika.

Maajabu ya mguu wake yalienda mpaka PSG, pale alikutana na mafundi wenzake kama Dinho, Laurent Robert na Ali Bernabia😊 ila maajabu yote ya Dinho anakwambia yeye kwa Okocha anavua kofia, Dinho anakwambia hajawahi kumuona Jini Mpira kama Okocha.

Mtaalam wa step overs, free kicks na chenga za maudhi, mguu mwepesi na akili nyepesi, Mchawi mmoja kutoka Enugu pale Nigeria, aliyewahi kutimiza na kuweka rekodi pale Bolton.
 
Augustine Azuka 'Jay Jay' Okocha, Mchawi na Hizi yake kutoka Enugu

Usiku mmoja kule Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria, Jimboni Enugu ile Agosti 14, 1973 alizaliwa Mchawi mmoja wa soka wakuitwa Augustine, ndio ni Augustine tu

Mitaa ya Enugu haikutaka kumwacha salama na jina lake la Augustine, wakaona kuna haja ya kumpachika jina la Jay Jay, ndipo wazungu na dunia tukaona isiwe kazi acha tumuite Jay Jay Okocha.

Mama yake Mzazi anakumbuka akimtuma dukani lazima atachelewa kurudi, atabetua chochote atakachokuta njiani, atasahau alichotumwa kama ataona watoto wanalipiga kandanda, alikua na uwezo wa kupiga danadana mpaka kitunguu au nyanya.

Mechi za mtaani kwao ziligubikwa na majonzi kwa wapinzani, chenga zake zilitegua nyonga, watoto walivishwa na kuvuliwa makanzu, alifanya kila aina ya utukutu wa soka "football crimes".

Ushuhuda na maajabu waliokuwa wakishuhudia huko Enugu, Kusini Mashariki mwa Nigeria ulipaswa kutazamwa duniani kote, haikutosha klabu za Nigeria kuona mabalaa yake, bali burudani hii ilihamia duniani kote.

Jioni moja ya 1990, Okocha anasafiri mpaka Ujerumani Magharibi, kipindi hicho wametoka kutwaa kombe la dunia, Okocha safari yake ilikuwa kwenda kumpa salaam mshikaji wake alikua anakipiga Borussia Neunkirchen, ndipo hapa dunia ilimtambua.

Okocha alifika mazoezini kwa mshikaji wake, alikaa tu pembeni kutazama mazoezi yao, ila baadae Kocha alimualika afanye nao mazoezi, kilichotokea baada ya pale ni kusaini mkataba ndipo hapo safari ilianza pale Bundesliga.
.
Alisainiwa baadae Frankfurt ya Jupp Hynkes, alifanya maajabu makubwa sana, aliwahi kupiga bao mbele ya Oliver Kahn kwa kumzunguka mara tatu moja kati ya bao bora mpaka kesho Ujerumani, fundi mmoja Mchawi kutoka Afrika.

Maajabu ya mguu wake yalienda mpaka PSG, pale alikutana na mafundi wenzake kama Dinho, Laurent Robert na Ali Bernabia ila maajabu yote ya Dinho anakwambia yeye kwa Okocha anavua kofia, Dinho anakwambia hajawahi kumuona Jini Mpira kama Okocha.

Mtaalam wa step overs, free kicks na chenga za maudhi, mguu mwepesi na akili nyepesi, Mchawi mmoja kutoka Enugu pale Nigeria, aliyewahi kutimiza na kuweka rekodi pale Bolton.
Sizani kama okocha ndio best player of all time in Africa pamoja na kwamba alikua na Ball skills kubwa
 
Okocha alikuwa ni fundi sana shida yake kubwa ni moja tu, alizidisha mbwembwe kupitiliza, show game zilikuwa nyingi, siku akikasirika akaamua kuucheza mpira haswa basi afrika hakuna kama yeye siku akiamua kucheza mpira wake wa video za youtube anakuwa kirusi kwenye timu, angekuwa serious na soka angekuwa daraja la kina gaucho kwa uwezo wake wa kuuchezea mpira.
Ni kama kina adel taarabt tu.
 
Augustine Azuka 'Jay Jay' Okocha, Mchawi na Hizi yake kutoka Enugu

Usiku mmoja kule Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria, Jimboni Enugu ile Agosti 14, 1973 alizaliwa Mchawi mmoja wa soka wakuitwa Augustine, ndio ni Augustine tu

Mitaa ya Enugu haikutaka kumwacha salama na jina lake la Augustine, wakaona kuna haja ya kumpachika jina la Jay Jay, ndipo wazungu na dunia tukaona isiwe kazi acha tumuite Jay Jay Okocha.

Mama yake Mzazi anakumbuka akimtuma dukani lazima atachelewa kurudi, atabetua chochote atakachokuta njiani, atasahau alichotumwa kama ataona watoto wanalipiga kandanda, alikua na uwezo wa kupiga danadana mpaka kitunguu au nyanya.

Mechi za mtaani kwao ziligubikwa na majonzi kwa wapinzani, chenga zake zilitegua nyonga, watoto walivishwa na kuvuliwa makanzu, alifanya kila aina ya utukutu wa soka "football crimes".

Ushuhuda na maajabu waliokuwa wakishuhudia huko Enugu, Kusini Mashariki mwa Nigeria ulipaswa kutazamwa duniani kote, haikutosha klabu za Nigeria kuona mabalaa yake, bali burudani hii ilihamia duniani kote.

Jioni moja ya 1990, Okocha anasafiri mpaka Ujerumani Magharibi, kipindi hicho wametoka kutwaa kombe la dunia, Okocha safari yake ilikuwa kwenda kumpa salaam mshikaji wake alikua anakipiga Borussia Neunkirchen, ndipo hapa dunia ilimtambua.

Okocha alifika mazoezini kwa mshikaji wake, alikaa tu pembeni kutazama mazoezi yao, ila baadae Kocha alimualika afanye nao mazoezi, kilichotokea baada ya pale ni kusaini mkataba ndipo hapo safari ilianza pale Bundesliga.
.
Alisainiwa baadae Frankfurt ya Jupp Hynkes, alifanya maajabu makubwa sana, aliwahi kupiga bao mbele ya Oliver Kahn kwa kumzunguka mara tatu moja kati ya bao bora mpaka kesho Ujerumani, fundi mmoja Mchawi kutoka Afrika.

Maajabu ya mguu wake yalienda mpaka PSG, pale alikutana na mafundi wenzake kama Dinho, Laurent Robert na Ali Bernabia ila maajabu yote ya Dinho anakwambia yeye kwa Okocha anavua kofia, Dinho anakwambia hajawahi kumuona Jini Mpira kama Okocha.

Mtaalam wa step overs, free kicks na chenga za maudhi, mguu mwepesi na akili nyepesi, Mchawi mmoja kutoka Enugu pale Nigeria, aliyewahi kutimiza na kuweka rekodi pale Bolton.
Kwa mpira upi? Okocha ni Skudu aliyechangamka.
 
Augustine Azuka 'Jay Jay' Okocha, Mchawi na Hizi yake kutoka Enugu

Usiku mmoja kule Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria, Jimboni Enugu ile Agosti 14, 1973 alizaliwa Mchawi mmoja wa soka wakuitwa Augustine, ndio ni Augustine tu

Mitaa ya Enugu haikutaka kumwacha salama na jina lake la Augustine, wakaona kuna haja ya kumpachika jina la Jay Jay, ndipo wazungu na dunia tukaona isiwe kazi acha tumuite Jay Jay Okocha.

Mama yake Mzazi anakumbuka akimtuma dukani lazima atachelewa kurudi, atabetua chochote atakachokuta njiani, atasahau alichotumwa kama ataona watoto wanalipiga kandanda, alikua na uwezo wa kupiga danadana mpaka kitunguu au nyanya. 😊

Mechi za mtaani kwao ziligubikwa na majonzi kwa wapinzani, chenga zake zilitegua nyonga, watoto walivishwa na kuvuliwa makanzu, alifanya kila aina ya utukutu wa soka "football crimes".

Ushuhuda na maajabu waliokuwa wakishuhudia huko Enugu, Kusini Mashariki mwa Nigeria ulipaswa kutazamwa duniani kote, haikutosha klabu za Nigeria kuona mabalaa yake, bali burudani hii ilihamia duniani kote.

Jioni moja ya 1990, Okocha anasafiri mpaka Ujerumani Magharibi, kipindi hicho wametoka kutwaa kombe la dunia, Okocha safari yake ilikuwa kwenda kumpa salaam mshikaji wake alikua anakipiga Borussia Neunkirchen, ndipo hapa dunia ilimtambua.

Okocha alifika mazoezini kwa mshikaji wake, alikaa tu pembeni kutazama mazoezi yao, ila baadae Kocha alimualika afanye nao mazoezi, kilichotokea baada ya pale ni kusaini mkataba😂 ndipo hapo safari ilianza pale Bundesliga.
.
Alisainiwa baadae Frankfurt ya Jupp Hynkes, alifanya maajabu makubwa sana, aliwahi kupiga bao mbele ya Oliver Kahn kwa kumzunguka mara tatu🙌 moja kati ya bao bora mpaka kesho Ujerumani, fundi mmoja Mchawi kutoka Afrika.

Maajabu ya mguu wake yalienda mpaka PSG, pale alikutana na mafundi wenzake kama Dinho, Laurent Robert na Ali Bernabia😊 ila maajabu yote ya Dinho anakwambia yeye kwa Okocha anavua kofia, Dinho anakwambia hajawahi kumuona Jini Mpira kama Okocha.

Mtaalam wa step overs, free kicks na chenga za maudhi, mguu mwepesi na akili nyepesi, Mchawi mmoja kutoka Enugu pale Nigeria, aliyewahi kutimiza na kuweka rekodi pale Bolton.
Umenikumbusha zama za hawa watu. Akina taribo west, nwanko kanu, babayaro, baba ngida
 
Okocha alikuwa ni fundi sana shida yake kubwa ni moja tu, alizidisha mbwembwe kupitiliza, show game zilikuwa nyingi, siku akikasirika akaamua kuucheza mpira haswa basi afrika hakuna kama yeye siku akiamua kucheza mpira wake wa video za youtube anakuwa kirusi kwenye timu, angekuwa serious na soka angekuwa daraja la kina gaucho kwa uwezo wake wa kuuchezea mpira.
Ni kama kina adel taarabt tu.
Kwa hayo aliyofanya imetosha sana kwake, hata dinho analaumiwa kuwa hana mafanikio ya muda mrefu ktk soka km Messi na Ronaldo, naye akawajibu nilichokifanya uwanjani kwa nafas yangu imetoshaaa.

Watu wameenjoy kuwatazamaa.
 
Kwa hayo aliyofanya imetosha sana kwake, hata dinho analaumiwa kuwa hana mafanikio ya muda mrefu ktk soka km Messi na Ronaldo, naye akawajibu nilichokifanya uwanjani kwa nafas yangu imetoshaaa.

Watu wameenjoy kuwatazamaa.
Kwa uwezo wa dinho na alichokifanya, (anavyoimbwa) ni sawa sawa, anapata stahiki sawia na kiwango chake.
Kwa uwezo wa okocha na anavyoimbwa ni tofauti, kwa kioaji chake ilibidi aimbwe zaidi, ila alikosea kwenye aina yake ya uchezaji ndio maana haimbwi sana. Okocha tunamuimba zaidi huku afrika, uingereza ni labda bolton tu, na ukifika pale mpaka uwakumbushe, psg sio sana, labda uturuki alikopewa hadi uraia wa heshima.
 
Back
Top Bottom