medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,445
- 1,531
kusuuza rungu au?
Sio kusuuza rungu tu pamoja nakukaa kabisa...
kusuuza rungu au?
Nakungoja babuu
Kwema mkuu
upoo?...
....Aha ha ha!! Kwani limechafuka?kusuuza rungu au?
....Aha ha ha!! Kwani limechafuka?
Labda anataka kukuimbia sura yako kama chapatii ...ha haaa
Jamani yani huyu mwanamke simuelewi kabisa, kwa sababu sijui namba yangu alipata wapi akanitongoza na hatujawahi kuonana lakini siku hizi ananilazimisha tuonane ili anipe penzi,hivi ni mtu mwema kweli.
.......Duuuh! wazee wa dy/dxem ntumie namba zake nimuulze alipata wap namba zako???
.......Duuuh! wazee wa dy/dx
Mbona mie nipo, ni mtazamaji wa show ya kikubwa mnayotaka kutuletea na kaka Mkubwa The Boss
nataka kuanzisha nae project flani hivi
Asije kuwa mkeo anakutega kwa namba usiyoijua. Nenda kapige tuJamani yani huyu mwanamke simuelewi kabisa, kwa sababu sijui namba yangu alipata wapi akanitongoza na hatujawahi kuonana lakini siku hizi ananilazimisha tuonane ili anipe penzi, hivi ni mtu mwema kweli.