Hajawahi kuniona, lakini ananitaka kimapenzi

Hajawahi kuniona, lakini ananitaka kimapenzi

Pharergy;Yaliwahi nikuta mwenzio, ila Mola alininusuru kwa rehema zake tu. Ilikuwa mtego wa maadui zangu wa siku nyingi na miye si mchepukaji. Nikasema, nataka nione mwisho wa movii hii.

Basi si nkaenda kwenye spoti ile ya makubaliano. Nkakodoa mimacho weee, baadaye nkastuliwa na perfume ninayo ijua ikiwa karib na miye. Kumbe ni ma spai wamewekwa tayari kuchukua muvi.

Nikaacha gazeti na soda nzima pale mezani nkasepa.Sijamsikia tena yule nyangumi jike hadi leo. Nenda lakini kwa machale. Ka vipi mkaribishe home amsalimie mamsap
 
Mkuu amini usiamini wewe ni mmoja kati ya watu billion moja walio na bahati zaidi hapa chini ya jua.Wakati wengine wakihonga magari na mihela kibao ya shoping ili wapate kipochi manyoya wewe mpaka unalazimishwa kupata kipochi for free.Hakika nyota yako inang'aa sana.


















.........Usisahau kinga.....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kama ulikubali basi ukayamalize, ila kama hukumkubalia basi bado yupo kwenye hatua kutongoza tu.
 
kijana kuwa makini na malinda yako ya maeneo ya uwani, hawachelewi kuvunja mlango.
 
Mwambie mkutane ili umchunguze ujue kama ni mwema au la, Hapa hakuna anayemfahamu huyo njemba kwa hiyo hakuna anayeweza kujibu swali lako kwa uhakika kama ni mwema au la. Kama ni mwema usimnyime mchezo.



jaman yan huyu mwanamke simuelewi kabisa, kwa sababu sijui namba yangu alipata wapi akanitongoza na hatujawahi kuonana lakini siku hizi ananilazimisha tuonane ili anipe penzi!
hivi ni mtu mwema kweli?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom