Kwani huna Mke/Mpenzi kwa sasa? au ulimuliza wapi alitoa number yako? inawezekana ni mpenzi wako anakujaribu imani yako inawezekana kua anakupenda kweli,l hayo mapenzi yakutoambiana au kujuana sura hasa kwa wanawake yanaweza kukugharimu bila sababau ya msingi Achana nae,lakini na wewe mbona unaonekana kama ushaanza kukolea kiduchu kiduchu...jaman yan huyu mwanamke simuelewi kabisa, kwa sababu sijui namba yangu alipata wapi akanitongoza na hatujawahi kuonana lakini siku hizi ananilazimisha tuonane ili anipe penzi!
hivi ni mtu mwema kweli?
ni mwema ndio nenda kasuuze rungu
Hamu zipo sana tu bossHivi wanawake mnapataga hamu ya kussuzwa rungu tu na stranger?
au ni yule yule tu mhusika?
Hamu zipo sana tu boss
Ukishikwa n hamu hebu nistue
Hivi wanawake mnapataga hamu ya kussuzwa rungu tu na stranger?
au ni yule yule tu mhusika?
Kwa Nin Tusipate Hmu, Muhuska Kitu Gan?
ntakushtua, kufa na kiu baharini uzembe...:behindsofa:
Hebu tell me more
wewe ukipata hiyo unafanyaje?