Nimeupenda ujumbe huu. Una ukweli ndani yake.Niliwahi kusema
"Huwezi kuujua uzuri wa uliye naye kabla mbaya hajajitokeza"
Niliambulia kejeli
Nimeupenda ujumbe huu. Una ukweli ndani yake.Niliwahi kusema
"Huwezi kuujua uzuri wa uliye naye kabla mbaya hajajitokeza"
Niliambulia kejeli
Wakati wa utawala wake ulishawahi kumsifia?Niliwahi kusema
"Huwezi kuujua uzuri wa uliye naye kabla mbaya hajajitokeza"
Niliambulia kejeli
Niliwahi kumsifia kwa kuwa na kifua cha kuhimili kejeli.Wakati wa utawala wake ulishawahi kumsifia?
Kwa wale ambao walikuwa wanamuita dhaifu kila aina ya majina Sasa ndio wanaona umuhimu.Niliwahi kumsifia kwa kuwa na kifua cha kuhimili kejeli.
Pia niliwahi kumponda kuhusu kubebana.
Tubalance mambo, JK alijifelisha mwenyewe kabla hajakabidhiwa urais.Kwa wale ambao walikuwa wanamuita dhaifu kila aina ya majina Sasa ndio wanaona umuhimu.
Hata yeye alisema naondoka Mimi Ila nawaletea mchapakazi ambaye sio dhaifu.
huyu Hana mpango wa kuondoka!Bila shaka na huyu akiindoka watu watammiss
Nadhani alipokuwa anawaambia [HASHTAG]#HAPA[/HASHTAG] KAZI TU walikuwa hawamwelewielewi.Muda wa kazi
Huyu naye pia atapita Kama wengine. Kwa kipindi hiki kifupi Kuna mambo kafanya poa mengine ameboronga.Tubalance mambo, JK alijifelisha mwenyewe kabla hajakabidhiwa urais.
Hakujua alichipanda yangebaki kuwa matunda yake ktk njia nzima ya uongozi.
Alicheza rafu mapema kwa kutengeneza mskundi na meneja wake akiwa EL.
Makundi hayo yalimdhoofisha hata ktk jema lolote alilolifanya kiasi cha kumlegeza kabisa ikiwa ni ishara ya kunyoosha mikono.
Jamaa alianza vyema sana but adui zake hawakukubaliana na kufanikiwa kwake.
Nasema yapo mambo ambayo alifaulu kiasi ambayo Aliyepo hatayafikia. Pia yapo aliyoboronga sana.
Huyu tuliyenaye naweka akiba ya maneno
Alianza vizuri, akafanya vibaya mwisho akatuacha pazuri. Huyu aliyetuacha naye angefaa aongoze jeshi. Maana hana siasaWatanzania tunaongoza kwa unafiki sijawai kujua kikwete uwa mnammis kwa lipi
Absolutely!hata huyu watammiss tu wanaowamissigi watu.Wewe ndio duni wa kupitia maandiko mbalimbali,kila mtu katika nafasi yake ukumbukwa akimaliza jukumu laje au akifa, ndio maana hakuna mtume hata mmoja aluyekubalika akiwa hai,jifubze hilo litakusaidia