dustless
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 796
- 713
Ungeyasema kipindi chake tusingekuona mnafiki.JK rais bora kabisa kuwahi kutawala Tanzania
Kwanza wote hao waliopita ni zao la aina moja, kila mmoja kuna mazuri yake na mabaya yake.
Unamlinganisha na nani kwa lipi, wakati kila kaongoza kwa kipindi chake tofauti.
Hata wanafunz bora hupimwa kwa mtihani moja kwa wakati mmoja, nje na hapo you cannot compare at all. Itakuwa unafiki tu kama unafiki mwingine