mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Inapandeza CCM ikiitwa CHAMA CHA MAFISADI au Chama Cha Mafisii na si magamba. Upo hapo mshirika? Hivi CCM ni chama cha nini eti?
Waulize akina Rostam Lowassa na Chenge na baba yao Njaa Kaya Kikwekwe. Halo halo! Mtakufa kwa vijiba vya roho mkijikomba kwa mafisi wawabakizieni mifupa.
Waulize akina Rostam Lowassa na Chenge na baba yao Njaa Kaya Kikwekwe. Halo halo! Mtakufa kwa vijiba vya roho mkijikomba kwa mafisi wawabakizieni mifupa.