mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
HahahaHahahah
Na uzee huu kuniita mrembo si unataka kunijaza mm
HahahaHahahah
Na uzee huu kuniita mrembo si unataka kunijaza mm
Msemo wa vijana wa mjini hao ukiuchukulia serious utakufikisha mahala fulani, ingawa infidelity ni tabia ambayo haitibiki kwapesa!Huu msemo wa "tafuta hela" unaniuzi (kwenye baadhi ya context) as if hela ni suluhisho la kila tatizo
Pole mtoa mada, lakini acha kulia tafuta demu/mchumba mwingine maisha yaendelee
Pesa sio Lock ya kusema kuwa hutaachwa au kusalitiwa, hawa jamaa wanaojitia tafta pesa hawaelewi tu sijui wamekula marage ya wapi!Aisee,kumbe tumeachwa wengi.mimi na pesa zangu nmeachwa.
Hao jamaa wao ushauri wao ni kutafuta pesa tuPesa sio Lock ya kusema kuwa hutaachwa au kusalitiwa, hawa jamaa wanaojitia tafta pesa hawaelewi tu sijui wamekula marage ya wapi!
Elekeza mashambulizi kwenye spare tyre!Mhmm mm pia mahusiano yangu yanapumulia pabaya,duh ndegu wangu anaelekea kupaa
Ngoja niitafute broNatamani ningekuweka darasani kukufunza mambo kadhaa juu ya hili.. mm nilikuwa mhanga mkubwa mpka ikafikia hatua maisha yangu yakawa matatani... kuna thread niliwahi kuiandika itafute
Acha tu bestNimekupenda hapa tu
Ha ha ha ha sio mchezo broMhmm mm pia mahusiano yangu yanapumulia pabaya,duh ndegu wangu anaelekea kupaa
HAPO SASA KISA CAREEN KAMLIZA...AJIKAZZE KULIZWA KAWAIDA ILA MWANAUME HUTAKIWI KULIA LIA HIVI ..UNATUANGUSHA..LIA KAUSHA KAMA HUJAWAI LIA..KINA CAREN WAKO WENGI MBONA UTAMPATA MWINGINE....SORRY HERUFI KUBWA NIMEONA NISHOUT KWA MBALIWanawake wamekosa nini had uwachukie
Sjui kawamaliza wana wake woteHAPO SASA KISA CAREEN KAMLIZA...AJIKAZZE KULIZWA KAWAIDA ILA MWANAUME HUTAKIWI KULIA LIA HIVI ..UNATUANGUSHA..LIA KAUSHA KAMA HUJAWAI LIA..KINA CAREN WAKO WENGI MBONA UTAMPATA MWINGINE....SORRY HERUFI KUBWA NIMEONA NISHOUT KWA MBALI
Hivi bilion saba toa careen ni ngapDunia inawatu zaidi ya Bilion 7![]()
Jamani Careen kwann umemtenda kaka angu lkn!?!?Habari caren
Salamu zikufikie popote ulipo hata kama uzi huu utaupitia basi ujumbe ukufikie najua ni vigumu kuandika haya ila imebibidi kutokana na haya nnayopitia nmedhoofu kimwili na akili pia nahisi sintokua sawa tena.
Caren nmekuja kutambua kua kweli upendo /mapenzi hayalazimishwi kama yangekua yanalazimishwa basi kwa jitihada nlizo onesha kwako ningeweza kuibuka kidedea.
Caren ulijua huna hisia na mm ila.kwa nn ulinipotezea muda mpka kufika hatua ya kukutambulisha kwa ndugu na wazazi pia ??aibu oloniachia haitopotea milele na chozi langu litakusakama kama laana inayomtafuna mtoto Wa kiume aonapo utupu Wa mzazi wake Wa kike
caren ni juzi tu nlipokuja nyumban kwako nkakukuta na mwanaume mwingine kwa mikao mliyokaa ilikua haijanibariki kwa kweli nliohoji ukaniambia ni kaka yako lakini nikaja kubahini ni mchepuko wako kati ya wale 3 nliozifuma meseji zao kwenye cm yako
Caren umenifanya niwachukie wanawake wote dunian isipokua mama yangu nna andika haya kwa uchungu kwa nn hukiniambia mapema mpaka imefikia hatua ya mwisho ndo umeonesha makucha ?? Ila asante nmepata la kujifunza kupitia ww caren
Wanaume wenzangu tuishe na hawa viumbe kwa akili sana
Ila
Sintokusahau caren
Ilo nalo neno maana wanahaki yakupendwNa kuna mabubu na viziwi zaidi ya million 1 hata kama domo zege lugha ya ishara wanaelewa!!
Mpunga ndo kila kituacha kulia kijana, pambana, tafuta hela za kutosha, Caren atajileta mwenyewe tu
😂😂😂😂😂Aisee,kumbe tumeachwa wengi.mimi na pesa zangu nmeachwa.

Mbona cjali mkuu nmejarbu kuandika tu nnayopitia juu yakeMwanaume kulia lia kisa dem ni umama..komaa na life awa wapo tu tena ni wengi kuliko sisi![]()