Haikua lazima unipende Caren

Haikua lazima unipende Caren

Daah kama mimi ndo huyu jamaa kesho naenda chukua 250,000 naenda fanya shopping jeans kali, T-shirts kali, miwani mikali, cap ya baseball kali, snicker kali najaza mafuta kwenye forester nazama makumbusho nang'oa mtoto mkali sound siku hio hio najilia vyangu maumivu huyasikii kamweee...
 
Huyu jamaa anapambana na wanafunzi halafu anategemea awe peke yake! Tena wanafunzi wenyewe hawa wa mjini kati. Wakimalizaga chuo ndio akili inarudi. Wewe Kama ni mwanafunzi enjoy nyapu, utakuwa commited mbeleni huko.
 
Huyu jamaa anapambana na wanafunzi halafu anategemea awe peke yake! Tena wanafunzi wenyewe hawa wa mjini kati. Wakimalizaga chuo ndio akili inarudi. Wewe Kama ni mwanafunzi enjoy nyapu, utakuwa commited mbeleni huko.
Hapana ni haya haya yaliyokubuhu ila ndo hvyo sina jinsi
 
careen kaondoka na kipande cha nyama cha Moyo wa mtu huku "...
 
Pole sana mkuu,Hapo umemaliza first course.
hahaa kwahiyo ajiandae kuanza course ya pili.. mpaka aumizwe sana akisha kuwa nunda ndio atayajua mapicha picha ya mahusiano
 
hahaa kwahiyo ajiandae kuanza course ya pili.. mpaka aumizwe sana akisha kuwa nunda ndio atayajua mapicha picha ya mahusiano
Hapo ndo ameanza aisee,akomae tu.
Na ajitahidi kutokuwa kujitundika tu.
 
Caren umenifanya niwachukie wanawake wote dunian isipokua mama yangu nna andika haya kwa uchungu kwa nn hukiniambia mapema mpaka imefikia hatua ya mwisho ndo umeonesha makucha ?? Ila asante nmepata la kujifunza kupitia ww caren
Pole pole pole sana bana kaka,usichukie wanawake kwa sababu ya msichana mmoja,kwa ufupi ni haikua fungu lako
 
Hapo ndo ameanza aisee,akomae tu.
Na ajitahidi kutokuwa kujitundika tu.
hahaa .. mpaka amemuanzishia careen uzi kweli alichotwa kiakili sana . mtoa na yeye no mmoja ya wale wadau wanaobabaika MA maneno matamu kama asali tunayoambianaga na wapenzi wetu vitandani .. yale maneno ukiambiwa unachpaswa kufanya nikuitikia tu nakuyaacha pale pale ..
 
Habari caren

Salamu zikufikie popote ulipo hata kama uzi huu utaupitia basi ujumbe ukufikie najua ni vigumu kuandika haya ila imebibidi kutokana na haya nnayopitia nmedhoofu kimwili na akili pia nahisi sintokua sawa tena.

Caren nmekuja kutambua kua kweli upendo /mapenzi hayalazimishwi kama yangekua yanalazimishwa basi kwa jitihada nlizo onesha kwako ningeweza kuibuka kidedea.

Caren ulijua huna hisia na mm ila.kwa nn ulinipotezea muda mpka kufika hatua ya kukutambulisha kwa ndugu na wazazi pia ??aibu oloniachia haitopotea milele na chozi langu litakusakama kama laana inayomtafuna mtoto Wa kiume aonapo utupu Wa mzazi wake Wa kike

caren ni juzi tu nlipokuja nyumban kwako nkakukuta na mwanaume mwingine kwa mikao mliyokaa ilikua haijanibariki kwa kweli nliohoji ukaniambia ni kaka yako lakini nikaja kubahini ni mchepuko wako kati ya wale 3 nliozifuma meseji zao kwenye cm yako

Caren umenifanya niwachukie wanawake wote dunian isipokua mama yangu nna andika haya kwa uchungu kwa nn hukiniambia mapema mpaka imefikia hatua ya mwisho ndo umeonesha makucha ?? Ila asante nmepata la kujifunza kupitia ww caren

Wanaume wenzangu tuishe na hawa viumbe kwa akili sana
Ila
Sintokusahau caren
So ulifikiri uko mwenyewe?Acha uzwazwa wewe?Wanawake utamu ndo uko hapo kwenye kula pamoja
 
Pole mkuu. Najua unapitia wkt mgumu sana. Na hakuna kitu kibaya kama kuachwa na mtu uliyempenda sana. It is so paonful.

Ila ww ni wakiume. Wanaume tumekuwa designed kupambana na mambo magumu.
Hili litapita.. ila futa memory zote ulizokuwa nazo kuhusu huyo gal.
You lover was real, yeye ndio kapoteza. Maybe hataona leo.. lakin atagundua mbeleni alipoteza lulu.
Nenda sehem lia kama unalia, sikitika ilimrad hiyo sumu itoke mwilini. kesho endelea na mambo yako kama kawa..
You will be fine man
Habari caren

Salamu zikufikie popote ulipo hata kama uzi huu utaupitia basi ujumbe ukufikie najua ni vigumu kuandika haya ila imebibidi kutokana na haya nnayopitia nmedhoofu kimwili na akili pia nahisi sintokua sawa tena.

Caren nmekuja kutambua kua kweli upendo /mapenzi hayalazimishwi kama yangekua yanalazimishwa basi kwa jitihada nlizo onesha kwako ningeweza kuibuka kidedea.

Caren ulijua huna hisia na mm ila.kwa nn ulinipotezea muda mpka kufika hatua ya kukutambulisha kwa ndugu na wazazi pia ??aibu oloniachia haitopotea milele na chozi langu litakusakama kama laana inayomtafuna mtoto Wa kiume aonapo utupu Wa mzazi wake Wa kike

caren ni juzi tu nlipokuja nyumban kwako nkakukuta na mwanaume mwingine kwa mikao mliyokaa ilikua haijanibariki kwa kweli nliohoji ukaniambia ni kaka yako lakini nikaja kubahini ni mchepuko wako kati ya wale 3 nliozifuma meseji zao kwenye cm yako

Caren umenifanya niwachukie wanawake wote dunian isipokua mama yangu nna andika haya kwa uchungu kwa nn hukiniambia mapema mpaka imefikia hatua ya mwisho ndo umeonesha makucha ?? Ila asante nmepata la kujifunza kupitia ww caren

Wanaume wenzangu tuishe na hawa viumbe kwa akili sana
Ila
Sintokusahau caren
 
Back
Top Bottom