Haikua lazima unipende Caren

Haikua lazima unipende Caren

Yeah ni ngumu kuondoa hisia zako kwake. But kazana mpaka umsahau. Laki ujue kati kati ya jitihada za kuhamisha hisia.. kuna kulia sana, kuna stress, ukileeza sana utajikuta unakuwa malaya boss.

So jitahidi. Stay away from her hatakama atakutafuta.
Shida ni huyu nliyempenda
 
Pole mkuu. Najua unapitia wkt mgumu sana. Na hakuna kitu kibaya kama kuachwa na mtu uliyempenda sana. It is so paonful.

Ila ww ni wakiume. Wanaume tumekuwa designed kupambana na mambo magumu.
Hili litapita.. ila futa memory zote ulizokuwa nazo kuhusu huyo gal.
You lover was real, yeye ndio kapoteza. Maybe hataona leo.. lakin atagundua mbeleni alipoteza lulu.
Nenda sehem lia kama unalia, sikitika ilimrad hiyo sumu itoke mwilini. kesho endelea na mambo yako kama kawa..
You will be fine man
Nashukuru kwa ushauri mzuri mkuu
 
Yeah ni ngumu kuondoa hisia zako kwake. But kazana mpaka umsahau. Laki ujue kati kati ya jitihada za kuhamisha hisia.. kuna kulia sana, kuna stress, ukileeza sana utajikuta unakuwa malaya boss.

So jitahidi. Stay away from her hatakama atakutafuta.
Sawa mkuu
 
Habari caren

Salamu zikufikie popote ulipo hata kama uzi huu utaupitia basi ujumbe ukufikie najua ni vigumu kuandika haya ila imebibidi kutokana na haya nnayopitia nmedhoofu kimwili na akili pia nahisi sintokua sawa tena.

Caren nimekuja kutambua kua kweli upendo /mapenzi hayalazimishwi kama yangekua yanalazimishwa basi kwa jitihada nilizo onesha kwako ningeweza kuibuka kidedea.

Caren ulijua huna hisia na mimi ila kwa nini ulinipotezea muda mpaka kufika hatua ya kukutambulisha kwa ndugu na wazazi pia ??aibu oloniachia haitopotea milele na chozi langu litakusakama kama laana inayomtafuna mtoto wa kiume aonapo utupu wa mzazi wake wa kike

Caren ni juzi tu nilipokuja nyumbani kwako nikakukuta na mwanaume mwingine kwa mikao mliyokaa ilikua haijanibariki kwa kweli inliohoji ukaniambia ni kaka yako lakini nikaja kubahini ni mchepuko wako kati ya wale 3 niliozifuma meseji zao kwenye simu yako

Caren umenifanya niwachukie wanawake wote duniani isipokua mama yangu nina andika haya kwa uchungu kwa nini hukiniambia mapema mpaka imefikia hatua ya mwisho ndo umeonesha makucha ?? Ila asante nimepata la kujifunza kupitia wewe Caren

Wanaume wenzangu tuishe na hawa viumbe kwa akili sana Ila
Sintokusahau caren
Pole sana ndugu.

Ila umemalizia vizuri....akili unatakiwa kuitumia vema.

*****mapenzi sio jiwe, kubali kujifunza****
 
Back
Top Bottom