Anaogopaa angekuwa amevaa nguo za heshima asingeogopa hapo tatizo yupo nusu uchi na kuna watu wanamfahamu ndo mana kaamua kuficha uso.Hivi msichana kupendwa ni mpaka avae vinguo vya ajabu? akivaa gauni lake au suruali yake isiyombana au sketi ndefu ya heshima hatapendwa?dada zetu punguzeni kuiga.mavazi mara nyingi humwelezea mtu alivyo mtabaki kulalamika hamna bahati ya kuolewa.wanaume wameshtuka.mtabaki vyombo vya starehe then wanawatosa.
Hivi huko Bongo kuna baridi nini? manake uzoefu unaonesha kuwa kama kuna baridi au mvua yanyesha basi hili jukwaa la mahusiano lapata wateja dunia nzima naona ni hizi tu ndo zatoka tangu saa tisa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.