Wanasiasa kuwaelewa na kuamini inahitaji utulivu sana. Kunakuunda tatzo na kulitatua. Tulia wewe mgeni wa hii nchiAkisemea inakuwa ni Drama, asiposemea aah wanajali matumbo Yao hayupo wa kutusemea , hii nchi inahtaj kiongozi mwenye roho mbaya zaidi ili iende
Reykjavic IcelandIsidingo the need! Tamthilia inaendelea.
Tumia akili za kichwa cha juu siyo tundu la chiniHuyo afisa utumishi anatoa wapi hizo fedha za kuwalipa wastaafu mfukoni mwake au.hivi kweli kufikiri kwetu ndo kunaishia Hapo?hata mtoto wa chekechea anajua hiyo ni hadaa.