MathiasD
Member
- Oct 4, 2018
- 43
- 26
Dah!!!!!!!!Mwaka mzima umepita dem huna!! iyo gari yako ni gari gani?
Dah!!!!!!!!Mwaka mzima umepita dem huna!! iyo gari yako ni gari gani?
bimkubwa lina swaga kiasi fulani.. halafu kwangu mm ni tofauti.. maana bimkubwa wangu hafagilii hata shkamooHivi kwa nini mama zenu mnapenda kuwaita bi mkubwa, mi sipendi. Kwani ukimuita mama unajisikiaje au utajiona mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
hahah na yeye mkuda chiefHongera kwa kuanza mwaka mpya na mpenzi mpya!
Mkuu naona dalili za kuwavutia wadada wakufuate PM ila subiri masingle maza watakuja wakuondolee gundu
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Nissan Patrol ya Mate Black..Mwaka mzima umepita dem huna!! iyo gari yako ni gari gani?
hakuna mkuu.. halafu confidence ni kawaida tuuWewe jamaa ume loop CD,Inawezekana ulilazimisha kugegeda kwenye gari mkakamatwa so bint akaku mind au ulipandisha mori wakati unabishana na askari akaziona hasira zako akaona kuna siku utakuja kumuua ukimfumania kama una hasira za hivyo ukizingatia ana vidumu
Au ulikamatwa kwa msala mkubwa na Polisi akashangaa ulivyo na confidence na ulivyozoea misala akajua hapa ni cha kike wewe ni kipusa
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda yule mdada aliona udhaifu wake wakati anabishana na polisi hivyo aliona huyu jamaa hawezi kumlinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Au mkuu jogoo hapandi mutungiKuna mengine hujayazungumza/hujayaandika mkuu.
Ekisha twaija wa tataNyegera waitu chuoni kwetu
Me sikubali, kwa mdomo utasema hunadharau lakini kwa maandishi yako umetudharau sisi wenye vi-vitz vibovu😀😀😀😀 sjadharau na labda na mm ninayo raum lakini siezi kuiita ndinga mbele za watu😀😀😀😀
Hahahaahhh! Me mzima, za siku?? Hebu ninong'oneze je kama angekuwa hajampa bi mkubwa ungekimendea hako ka-iphone??hahaaa, mkuu, nilivutiwa na hako ka iphone ujue afu kumbe keishaigawa aargh. vipi lakini mzima wewee
Hahahahahhahaha. Me nimekwambia wewe sawa tuuu ujumbe tumeupata ila na sisi tutafika huko kwenye miV8Mantiki yangu ni kwamba kuna vitu vya kuvipa hadhi bana hata km kazi yao ni mmoja huwezi eka apo bajaj sjui toyo zile za mzigo na scania tena mende eti kwa vile zote zinabeba mizigo ukaziita gari za mizigo😀😀😀 kila mmoja iitwe kwa nafasi yake eboo😡😡
No! Nlilokuwa nasema ni kwamba, kuna mdau amesema watu wengi wanayo magari kitu ambacho napingaaa tena kwa nguvu zote. Hata kama ni mikweche lakini sio wengi ambao wana magari hususan kutoka hapa JF. Kwani wewe ushakutana na watu wangapi wa hapa?? Trust me hali za watu humu ni mbayaSiamini ktk wanaume tu kumiliki gari, wanawake pia wana magari mnoo tena ya maana...sema ni ulimbukeni tu wanaume wachache akieza kumiliki ata kale ambako wiki haiishi ajaenda garage na yeye haishi kututangazia gari ,gari, ndinga, ndinga, siku ukiiona unaweza ukacheka mpaka Mungu akakuchukua akyanani😀😀😀
Kwa hiyo tusubiri mpaka tununue hayo ma-ndinga ndio tuje tuseme, right?? Au tuseme tu straight kwamba Mimi ninayo vitz mbovu mbovuIla sasa mkome kututangazia ndinga, ndinga, kumbe una kagari ata kuna wasichana hawawezi panda kwa kuona aibu bora atembee kwa mguu😀😀😀😀 nakumbuka nlikuwa nadharau kabla hata sjamiliki bajaj lakini vigari vidogo vidogo ivo afu mwanaume anajiona ndo amefiiika ptuuuuuuu
🙈🙈🙈🙈🙈 umejua kuniaibisha. Nakwambia mwaka huu ntapambana nipate ndinga maana sio kwa dharau hizi😁😁kiuze mkuu eti hicho ni chombo cha usafiri sio ndinga😂
Nzuriii, In kunong'oneza voice...kama bado angekua na hako kasimu now ningekua pm na angekua tayari kashanipa mimiHahahaahhh! Me mzima, za siku?? Hebu ninong'oneze je kama angekuwa hajampa bi mkubwa ungekimendea hako ka-iphone??
,mi sisusi vitu kama huyo rafiki akee.