Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Kabisa aiseeeeNdinga ni Ndinga tuu, huwez jua amehustler vp mpk kupata mkuu
Kabisa aiseeeeNdinga ni Ndinga tuu, huwez jua amehustler vp mpk kupata mkuu
Sio kweli kwamba wanaume wengi wanayo magari. Mssifanye kuwa mtu akisema Ana gari basi ikawa ishu. Hata humu JF sio kweli kwamba majority wana magari.Hivi sana Jf tuwe serious kidogo hivi kuwa na gari ni ishu kubwa? Mbona wanaume wengi wana gari jamani au?
Ahsante lakini ndio vinatuweka mjini😆😆😆😆😆😀😀😀 nakataa kwa jina langu mkuu kuna usafiri na kuna ndinga bana hahaha unashuka kwene gari adi unajiskia ulikuwa kwene gari wacha zile baby walker😀😀😀😀😀
Mbona unacheka kuskia watu wanatambaa na code???
😀😀😀😀 sjadharau na labda na mm ninayo raum lakini siezi kuiita ndinga mbele za watu😀😀😀😀Mkuu wewe kama unalo v8 usiwadharau wenye raum.😂😂😂😂
hahaaa, mkuu, nilivutiwa na hako ka iphone ujue afu kumbe keishaigawa aargh. vipi lakini mzima weweeMpaka wewe???
Mantiki yangu ni kwamba kuna vitu vya kuvipa hadhi bana hata km kazi yao ni mmoja huwezi eka apo bajaj sjui toyo zile za mzigo na scania tena mende eti kwa vile zote zinabeba mizigo ukaziita gari za mizigo😀😀😀 kila mmoja iitwe kwa nafasi yake eboo😡😡Haya bhana. Hongera bibie
Siamini ktk wanaume tu kumiliki gari, wanawake pia wana magari mnoo tena ya maana...sema ni ulimbukeni tu wanaume wachache akieza kumiliki ata kale ambako wiki haiishi ajaenda garage na yeye haishi kututangazia gari ,gari, ndinga, ndinga, siku ukiiona unaweza ukacheka mpaka Mungu akakuchukua akyanani😀😀😀Sio kweli kwamba wanaume wengi wanayo magari. Mssifanye kuwa mtu akisema Ana gari basi ikawa ishu. Hata humu JF sio kweli kwamba majority wana magari.
Nakiuza ki-vitz changu ninunue ndinga
cc: Sweet16
Ila sasa mkome kututangazia ndinga, ndinga, kumbe una kagari ata kuna wasichana hawawezi panda kwa kuona aibu bora atembee kwa mguu😀😀😀😀 nakumbuka nlikuwa nadharau kabla hata sjamiliki bajaj lakini vigari vidogo vidogo ivo afu mwanaume anajiona ndo amefiiika ptuuuuuuuAhsante lakini ndio vinatuweka mjini😆😆😆😆😆
Mwaka mzima umepita dem huna!! iyo gari yako ni gari gani?Habari zenu wanaJamii.. Nina imani mko Salama kabisa..
Kwa mara nyengine tena nimekuja na story hii.. inayohusu, ni namna gani nilivyouanza na kuumaliza mwaka wa 2018.
Nirudishe Historia nyuma kidogo mpaka mwaka 2017, ambapo kuanzia mwezi wa 9 mpaka wa 11, niliachana na mabinti wanne ambao nilikuwa nao kwenye mahusiano.. Na mwezi wa 12 nikapata binti mwengine.. ambaye huyu mahusiano yake kidogo yalikuwa serious, kwa maana pia alisisitiza kunipeleka mpaka kwao na alinitambulisha.
Maisha yakaenda na Mwezi ukafika Mwishoni.. Yaani kuukaribisha mwaka 2018 sasa.
Kama ishara ya shukrani na Upendo nikaamua kujitutumua nikamnunulia yule binti simu flani kali ili akaribishie mwaka.. ingawa sikuwa nimemkabidhi
Usiku wake nikaenda mpaka Chuo alichokuwa anasoma.. Nikapaki ndinga nikawa nimekaa naye hapo huku tukisubiri mwaka mpya uingie.. Sasa ile saa tano na nusu inafika.. kidogo wakaja jamaa wawili waliovalia nguo za kiaskari na wakapiga lock Gari yangu, na kuanza kunizingua vibaya, hadi yule binti akaanza kupata wasiwasi.. ila mimi nikawa nawajibu kawaida tuu, na nikafunga gari ..nikasepa zangu kwenye kituo chao kidogo cha polisi ili niepushe utata nikiwa na yule Binti wa watu..
Tuliyazungumza yakaisha na hapo ndipo nilipopata nafasi ya kwenda kutoa gari yangu na kuagana na yule binti mida ya saa 6 na nusu.. yaani mwaka mpya 2018.
Ule mwaka ukawa umeingia kwa style hiyo ya shari.. na yule binti kiukweli alionekana amechukizwa, hivyo hakutaka kuzungumzia jambo lolote na hata zawadi yake hakutaka kuipokea.. basi nikaamua kumpeleka hadi kwenye malazi yake na kumwacha hapo nikiwa bado nambembeleza..
Cha kushangaza kesho yake naamka asubuhi mida ya saa 3 napokea Text inasema ..PLEASE CAN WE END THIS AND JUST BE FRIENDS.. nilishangaa sana na kuishia kucheka tuu.. na nilishukuru kwa upande mwengine kwa maana Simu yangu aina ya iPhone 6s ilipona.. maana sikutaka kubembelezana naye..
Ila nahisi lilikuwa Gundu, kwa maana tangu pale.. sikupata binti hadi mwaka huu tarehe 2 mwezi wa 1..
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ai mnapataka vi baby Walker vyenu kwa ma sponsor siku mkiwazingua tu wanakuja kuwapokonyaSiamini ktk wanaume tu kumiliki gari, wanawake pia wana magari mnoo tena ya maana...sema ni ulimbukeni tu wanaume wachache akieza kumiliki ata kale ambako wiki haiishi ajaenda garage na yeye haishi kututangazia gari ,gari, ndinga, ndinga, siku ukiiona unaweza ukacheka mpaka Mungu akakuchukua akyanani😀😀😀

Haijawai tokea kwangu nkaishi kwa kumtegemea sponsor.... Wakati bado nkiwa girlfriend sjawa mke....nlifanya mambo mwenyewe hata mwanaume akawa anawaza huyu yukoje?? Nlijenga, nlinunua viwanja, nlinunua gari, tena haikunipendeza akaja kukuta nshauza nkanunua ingine yeye nlikuwa nampa tu za juu juu nimefanya ivo, au mnafanya vile, akisapot ni moyo wake lakini si kumtegemeaNyie ai mnapataka vi baby Walker vyenu kwa ma sponsor siku mkiwazingua tu wanakuja kuwapokonya![]()
Bless up ila mpo wachache sana kama nyie aseeHaijawai tokea kwangu nkaishi kwa kumtegemea sponsor.... Wakati bado nkiwa girlfriend sjawa mke....nlifanya mambo mwenyewe hata mwanaume akawa anawaza huyu yukoje?? Nlijenga, nlinunua viwanja, nlinunua gari, tena haikunipendeza akaja kukuta nshauza nkanunua ingine yeye nlikuwa nampa tu za juu juu nimefanya ivo, au mnafanya vile, akisapot ni moyo wake lakini si kumtegemea

" asavali"
😁😁kiuze mkuu eti hicho ni chombo cha usafiri sio ndinga😂Sio kweli kwamba wanaume wengi wanayo magari. Mssifanye kuwa mtu akisema Ana gari basi ikawa ishu. Hata humu JF sio kweli kwamba majority wana magari.
Nakiuza ki-vitz changu ninunue ndinga
cc: Sweet16