hahah Vibuti vyengine bana!! (Single mwaka mzima)

hahah Vibuti vyengine bana!! (Single mwaka mzima)

Hivi sana Jf tuwe serious kidogo hivi kuwa na gari ni ishu kubwa? Mbona wanaume wengi wana gari jamani au?
Sio kweli kwamba wanaume wengi wanayo magari. Mssifanye kuwa mtu akisema Ana gari basi ikawa ishu. Hata humu JF sio kweli kwamba majority wana magari.

Nakiuza ki-vitz changu ninunue ndinga

cc: Sweet16
 
😀😀😀 nakataa kwa jina langu mkuu kuna usafiri na kuna ndinga bana hahaha unashuka kwene gari adi unajiskia ulikuwa kwene gari wacha zile baby walker😀😀😀😀😀
Ahsante lakini ndio vinatuweka mjini😆😆😆😆😆
 
Sio kweli kwamba wanaume wengi wanayo magari. Mssifanye kuwa mtu akisema Ana gari basi ikawa ishu. Hata humu JF sio kweli kwamba majority wana magari.

Nakiuza ki-vitz changu ninunue ndinga

cc: Sweet16
Siamini ktk wanaume tu kumiliki gari, wanawake pia wana magari mnoo tena ya maana...sema ni ulimbukeni tu wanaume wachache akieza kumiliki ata kale ambako wiki haiishi ajaenda garage na yeye haishi kututangazia gari ,gari, ndinga, ndinga, siku ukiiona unaweza ukacheka mpaka Mungu akakuchukua akyanani😀😀😀
 
Ahsante lakini ndio vinatuweka mjini😆😆😆😆😆
Ila sasa mkome kututangazia ndinga, ndinga, kumbe una kagari ata kuna wasichana hawawezi panda kwa kuona aibu bora atembee kwa mguu😀😀😀😀 nakumbuka nlikuwa nadharau kabla hata sjamiliki bajaj lakini vigari vidogo vidogo ivo afu mwanaume anajiona ndo amefiiika ptuuuuuuu
 
Wewe jamaa ume loop CD,Inawezekana ulilazimisha kugegeda kwenye gari mkakamatwa so bint akaku mind au ulipandisha mori wakati unabishana na askari akaziona hasira zako akaona kuna siku utakuja kumuua ukimfumania kama una hasira za hivyo ukizingatia ana vidumu

Au ulikamatwa kwa msala mkubwa na Polisi akashangaa ulivyo na confidence na ulivyozoea misala akajua hapa ni cha kike wewe ni kipusa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wanaJamii.. Nina imani mko Salama kabisa..

Kwa mara nyengine tena nimekuja na story hii.. inayohusu, ni namna gani nilivyouanza na kuumaliza mwaka wa 2018.

Nirudishe Historia nyuma kidogo mpaka mwaka 2017, ambapo kuanzia mwezi wa 9 mpaka wa 11, niliachana na mabinti wanne ambao nilikuwa nao kwenye mahusiano.. Na mwezi wa 12 nikapata binti mwengine.. ambaye huyu mahusiano yake kidogo yalikuwa serious, kwa maana pia alisisitiza kunipeleka mpaka kwao na alinitambulisha.

Maisha yakaenda na Mwezi ukafika Mwishoni.. Yaani kuukaribisha mwaka 2018 sasa.

Kama ishara ya shukrani na Upendo nikaamua kujitutumua nikamnunulia yule binti simu flani kali ili akaribishie mwaka.. ingawa sikuwa nimemkabidhi

Usiku wake nikaenda mpaka Chuo alichokuwa anasoma.. Nikapaki ndinga nikawa nimekaa naye hapo huku tukisubiri mwaka mpya uingie.. Sasa ile saa tano na nusu inafika.. kidogo wakaja jamaa wawili waliovalia nguo za kiaskari na wakapiga lock Gari yangu, na kuanza kunizingua vibaya, hadi yule binti akaanza kupata wasiwasi.. ila mimi nikawa nawajibu kawaida tuu, na nikafunga gari ..nikasepa zangu kwenye kituo chao kidogo cha polisi ili niepushe utata nikiwa na yule Binti wa watu..

Tuliyazungumza yakaisha na hapo ndipo nilipopata nafasi ya kwenda kutoa gari yangu na kuagana na yule binti mida ya saa 6 na nusu.. yaani mwaka mpya 2018.

Ule mwaka ukawa umeingia kwa style hiyo ya shari.. na yule binti kiukweli alionekana amechukizwa, hivyo hakutaka kuzungumzia jambo lolote na hata zawadi yake hakutaka kuipokea.. basi nikaamua kumpeleka hadi kwenye malazi yake na kumwacha hapo nikiwa bado nambembeleza..

Cha kushangaza kesho yake naamka asubuhi mida ya saa 3 napokea Text inasema ..PLEASE CAN WE END THIS AND JUST BE FRIENDS.. nilishangaa sana na kuishia kucheka tuu.. na nilishukuru kwa upande mwengine kwa maana Simu yangu aina ya iPhone 6s ilipona.. maana sikutaka kubembelezana naye..

Ila nahisi lilikuwa Gundu, kwa maana tangu pale.. sikupata binti hadi mwaka huu tarehe 2 mwezi wa 1..

Karibuni.





Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka mzima umepita dem huna!! iyo gari yako ni gari gani?
 
Siamini ktk wanaume tu kumiliki gari, wanawake pia wana magari mnoo tena ya maana...sema ni ulimbukeni tu wanaume wachache akieza kumiliki ata kale ambako wiki haiishi ajaenda garage na yeye haishi kututangazia gari ,gari, ndinga, ndinga, siku ukiiona unaweza ukacheka mpaka Mungu akakuchukua akyanani😀😀😀
Nyie ai mnapataka vi baby Walker vyenu kwa ma sponsor siku mkiwazingua tu wanakuja kuwapokonya
 
Nyie ai mnapataka vi baby Walker vyenu kwa ma sponsor siku mkiwazingua tu wanakuja kuwapokonya
Haijawai tokea kwangu nkaishi kwa kumtegemea sponsor.... Wakati bado nkiwa girlfriend sjawa mke....nlifanya mambo mwenyewe hata mwanaume akawa anawaza huyu yukoje?? Nlijenga, nlinunua viwanja, nlinunua gari, tena haikunipendeza akaja kukuta nshauza nkanunua ingine yeye nlikuwa nampa tu za juu juu nimefanya ivo, au mnafanya vile, akisapot ni moyo wake lakini si kumtegemea
 
Haijawai tokea kwangu nkaishi kwa kumtegemea sponsor.... Wakati bado nkiwa girlfriend sjawa mke....nlifanya mambo mwenyewe hata mwanaume akawa anawaza huyu yukoje?? Nlijenga, nlinunua viwanja, nlinunua gari, tena haikunipendeza akaja kukuta nshauza nkanunua ingine yeye nlikuwa nampa tu za juu juu nimefanya ivo, au mnafanya vile, akisapot ni moyo wake lakini si kumtegemea
Bless up ila mpo wachache sana kama nyie asee
 
Back
Top Bottom