Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Panya wa3
walikuwa wanatambiana nani
mkali zaidi ya wenzake..
Panya wa 1: mimi hata mtego
uwekweje,nategua tu!
Panya wa 2: mimi hata maziwa
yawe yamewekwa sumu,mi
nakunywa tu!
Panya wa 3: ye akaanza
kuondoka. Wenzake
wakamuuliza, "we vipi?" Akajibu,
"Naenda kufanya mapenzi na PAKA...!"
Je,yupi noma?
walikuwa wanatambiana nani
mkali zaidi ya wenzake..
Panya wa 1: mimi hata mtego
uwekweje,nategua tu!
Panya wa 2: mimi hata maziwa
yawe yamewekwa sumu,mi
nakunywa tu!
Panya wa 3: ye akaanza
kuondoka. Wenzake
wakamuuliza, "we vipi?" Akajibu,
"Naenda kufanya mapenzi na PAKA...!"
Je,yupi noma?