CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,045
- Thread starter
- #41
Kaka ningependa japo nizame kidogo nichungulie watu huko wanaishije nikajiandaa na tools na zana zote kuzama nikaingia sema nikagomewa kujiunga.
Sehem nyingi za watu makini wanakuwa makini sana sku hizi na wageni wanaotaka kujiunga, scammers wamezidi, na wale jamaa zetu:cool2:!! Baadhi ya forums wanakuachia usome kama guest, nyingine wanaoweza kuziaccess ni members tu!