Hahaaha, sweet money, NO HUSTLE; I like this guy!

Thats basically what we are doing, everything is underground!

Please! mkuu acha kujipa moyo. Kuna usiri gani hapa kama tangazo lenyewe liko online tena kwenye public forum. Pili yeye ameajiliwa na kampuni ngapi mpaka awe anatoa details za stock excahnge companies? Tatu share price fluctuation siyo kila wakati inatokea kutokana na mambo ya ndani ya kampuni Pia ajue watamshika tu na pesa zenu zitakwenda, na jela juu kwa soliciting inside trading.
 
Sidhani kama neno insider umelitumia vizuri hapa! Broke anawezaje kuwa insider wa makampuni tena kwa uingereza? Nadhani hawa brokers unaowazungumzia wanafanya analysis ya kawaida " Fundamental" or technical analysis then wanakupa advise ya kuuza. Insider ni yule aliye ndani ya kampuni husika ambaye anaweza kukupa tips ya information zenye kuweza kuleta adverse or positive impact kwenye share prices. Mfano; unaweza kupata tip ya audited financials ambazo hazijawa released kwamba kuna loss kubwa sana na hivyo uza shares zako faster. Hiyo ndo tunaita insider info.
Thats basically what we are doing, everything is underground!
 
Please! mkuu acha kujipa moyo. Kuna usiri gani hapa kama tangazo lenyewe liko online tena kwenye public forum. Pili yeye ameajiliwa na kampuni ngapi mpaka awe anatoa details za stock excahnge companies? Tatu share price fluctuation siyo kila wakati inatokea kutokana na mambo ya ndani ya kampuni Pia ajue watamshika tu na pesa zenu zitakwenda, na jela juu kwa soliciting inside trading.

Hahahaha, hili siyo tangazo, na biashara haifanyiki DSE iko LSE, hakuna detail yoyote ya maana niliyoweka inayoweza kumtia hatiani mtu yeyote, na oh...hakuna illegality yoyote katika hilo, si mimi wala "mshauri" wangu anayeweza kutiwa hatiani, hata anonimity ni kuepuka usumbufu tu....kusema insider simaanishi mwajiriwa wa LSE, Broker, au Kampuni yoyote, ni mtu aliye well informed na mwenye kufanya research za kutosha tu, with knowledge and experience he gets it right most of the time, sisemi kuwa mara zote, mara nyingine inakata mtaji, lakini kwa hakika inakuja kufidia, kama naweza kudeal na mtu nisiyemfahamu its already a risk, kuinvest ni risk pia, I'm ready to part with what I invest!
Asante kwa maoni yako.
 
Sidhani kama neno insider umelitumia vizuri hapa! Broke anawezaje kuwa insider wa makampuni tena kwa uingereza? Nadhani hawa brokers unaowazungumzia wanafanya analysis ya kawaida " Fundamental" or technical analysis then wanakupa advise ya kuuza. Insider ni yule aliye ndani ya kampuni husika ambaye anaweza kukupa tips ya information zenye kuweza kuleta adverse or positive impact kwenye share prices. Mfano; unaweza kupata tip ya audited financials ambazo hazijawa released kwamba kuna loss kubwa sana na hivyo uza shares zako faster. Hiyo ndo tunaita insider info.

Uko sahihi mkuu, and he is not even a broker!..."ANAJUA YEYE ANAKOZIPATA HIZO INFO"
 
Hahahaha, hili siyo tangazo, na biashara haifanyiki DSE iko LSE, hakuna detail yoyote ya maana niliyoweka inayoweza kumtia hatiani mtu yeyote, na oh...hakuna illegality yoyote katika hilo, si mimi wala "mshauri" wangu anayeweza kutiwa hatiani, hata anonimity ni kuepuka usumbufu tu....kusema insider simaanishi mwajiriwa wa LSE, Broker, au Kampuni yoyote, ni mtu aliye well informed na mwenye kufanya research za kutosha tu, with knowledge and experience he gets it right most of the time, sisemi kuwa mara zote, mara nyingine inakata mtaji, lakini kwa hakika inakuja kufidia, kama naweza kudeal na mtu nisiyemfahamu its already a risk, kuinvest ni risk pia, I'm ready to part with what I invest!
Asante kwa maoni yako.

Sitaki nikukatishe moyo hii ni biashara inayofanyika na watu wanafanya. Kwa maelezo yako yanatosheleza kuwekeza kabisa. Natambua kuwa ni LSE huko DSE si pakupaongelea. Wakati nasoma nilikuwa tempeted sana na hivi vitu. Ila ukishakuwa kidogo na majukumu yakiwa mengi nimeamuwa niwe nafanya calculated risk hata kama b/venture ikibuma nitabaki na assets ambazo nitakapoziuza angalau nipate nusu hasara.
 
Sitaki nikukatishe moyo hii ni biashara inayofanyika na watu wanafanya. Kwa maelezo yako yanatosheleza kuwekeza kabisa. Wakati nasoma nilikuwa tempeted sana na hivi vitu. Ila ukishakuwa kidogo na majukumu yakiwa mengi nimeamuwa niwe nafanya calculated risk hata kama b/venture ikibuma nitabaki na assets ambazo nitakapoziuza angalau nipate nusu hasara.

Wala haujanikatisha moyo mkuu, im already into this mwezi wa pili sasa, and im loving it!...huwez amini wakati naanza tu ilikata twice, i didnt give up!
 
Ok, iko hivi mkuu;
Hii mambo inahusiana na biashara ya hisa (sisi si wawekezaji, ni wajanja tu tunaotaka kununua kwa bei chini na kuuza kwa bei juu ndani ya muda mfupi)
1. Unakuwa na broker akaunti tayari kwa trading katika LSE
2. Kianzio at least 2000GBP
3. "Tipper" anakupa kampuni ya kununua hisa (yeye keshafanya research yake, he is an insider)
4. Unakaa unatulia tuliii, akisema UZA, unauza aster (unauza bei inapopanda, inaweza kuwa ndani ya dk chache au siku kadhaa, kwa hiyo unatakiwa kuwa attentive). Hapa kinachoangaliwa ni faida angalau ya 100% ili na yeye apate chambi.
5. Ukiuza unachukua faida halisi unagawa kwa mbili, fungu moja unamtumia mshkaji, fungu linalobaki unatia mfukoni, mtaji unabaki palepale unasubiri tena zamu yako ifike wakati akideal na washkaji wengine. Hapa ni suala la uaminifu, unaweza kuchagua kutomtumia cha kwake, lakini ndiyo unakuwa umejitoa na kujiondolea uaminifu.

Pia kuna hii ambayo mimi inanihakikishia vijisenti vya kula kila wiki
1. Unamtumia yeye kiasi cha pesa kuanzia 500GBP (mimi nimeanza na 800gbp)
2. Anatrade anavyojua yeye, kila wiki anakulipa 100gbp kwa kila 500 (hesabu yangu inasoma 160GBP/week)
Hapa uaminifu ni upande wake kwa sababu pesa anayo yeye.

2000 gbp sawa na tsh ngap?
 
samurai.jpg
 
Hahahaaa...! Kaka nimekusoma vyema. Na nahisi nimeusoma vyema mchezo unavyochezwa. Kama sijakosea ni yale mambo ya underground bussines a.k.a mambo ya kuzimu.
 
Hahahaaa...! Kaka nimekusoma vyema. Na nahisi nimeusoma vyema mchezo unavyochezwa. Kama sijakosea ni yale mambo ya underground bussines a.k.a mambo ya kuzimu.

Lol! kwenye vitunguu kunanipa raha sana kaka!:lock1:
 

Usiogope mkuu, unaweza kuwekeza hata elfu kumi, lakini jinsi sisi tunavyofanya kazi lazima mtu aweke kianzio cha juu kidogo, hata mnavogawana inamake sence, lakini ishu ikienda ndivyo sivyo inakata kwako, siyo mnagawana hasara, HASARA NI YAKO, FAIDA TU NDY INAGAWANYWA!:israel:
 
Haya mambo haya!!!!!?.Ngoja nijifunze maaana sielewi elewi Afu ni kitu inamake Sense!!!

Hilo ndiyo jambo la msingi kaka, sisi wakati tunaanza kuingia huko machimboni tulilia sana kwa sababu tuliingia kichwakichwa, hatukuwa na muda wa kujifunza!....Mpaka sasa unafika sehem una orodha ya watu hata kumi tu wa kukupa direction bure ni jambo la kujivunia, MTAJI NI WATU!
 
Ok, iko hivi mkuu;
Hii mambo inahusiana na biashara ya hisa (sisi si wawekezaji, ni wajanja tu tunaotaka kununua kwa bei chini na kuuza kwa bei juu ndani ya muda mfupi)
1. Unakuwa na broker akaunti tayari kwa trading katika LSE
2. Kianzio at least 2000GBP
3. "Tipper" anakupa kampuni ya kununua hisa (yeye keshafanya research yake, he is an insider)
4. Unakaa unatulia tuliii, akisema UZA, unauza aster (unauza bei inapopanda, inaweza kuwa ndani ya dk chache au siku kadhaa, kwa hiyo unatakiwa kuwa attentive). Hapa kinachoangaliwa ni faida angalau ya 100% ili na yeye apate chambi.
5. Ukiuza unachukua faida halisi unagawa kwa mbili, fungu moja unamtumia mshkaji, fungu linalobaki unatia mfukoni, mtaji unabaki palepale unasubiri tena zamu yako ifike wakati akideal na washkaji wengine. Hapa ni suala la uaminifu, unaweza kuchagua kutomtumia cha kwake, lakini ndiyo unakuwa umejitoa na kujiondolea uaminifu.

Pia kuna hii ambayo mimi inanihakikishia vijisenti vya kula kila wiki
1. Unamtumia yeye kiasi cha pesa kuanzia 500GBP (mimi nimeanza na 800gbp)
2. Anatrade anavyojua yeye, kila wiki anakulipa 100gbp kwa kila 500 (hesabu yangu inasoma 160GBP/week)
Hapa uaminifu ni upande wake kwa sababu pesa anayo yeye.

Fraud is a crime
 
Back
Top Bottom