EWGM's
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,521
- 2,109
Thats basically what we are doing, everything is underground!
Please! mkuu acha kujipa moyo. Kuna usiri gani hapa kama tangazo lenyewe liko online tena kwenye public forum. Pili yeye ameajiliwa na kampuni ngapi mpaka awe anatoa details za stock excahnge companies? Tatu share price fluctuation siyo kila wakati inatokea kutokana na mambo ya ndani ya kampuni Pia ajue watamshika tu na pesa zenu zitakwenda, na jela juu kwa soliciting inside trading.