Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Huyo Jamaa hizo dharau alijitakia mwenyewe tu..
 
Hahahaaa we Mchimbaji wewe umekomaa walahy

Ni kweli kabisa halafu unayosema, kutokana na personal experience kabisa nafahamu wanawake kibao ambao walikua na uwezo wa kila kitu. Ila swali la sasa tunafanyaje ilikua kila siku mpaka nikawa nachukia sometimes ila nilikua kugundua hayo unayoyasema. Na mpaka saivi mwanamke hawezi kunizid ujanja hata awe CEO wa Boing au NASA huko kudadeki

Na ndo maana unaweza ukashngaa wahuni,bodaboda na bad boys wanaeleweka kirahisi na wanawake no ile hali ya kuwa hajali yan anajilipua kila changamoto haimrudishi nyuma

Hata kama familia hakuna chakula siku hiyo we unasema tulieni tu nakuja nayo ukienda umerudi hata na nusu kilo, sijui majirani wana mgogoro gani na mwanamke umetatua sijui kitu gan kinasumbua umetatua ndo inavyotakiwa
 


Basi mm napenda mikato hiyo aise🀣nakua nnahis niko safe ..tofauti na hapo kwakweli utakubali tu mm kuitwa Baba
 
Vijana hawawezi kukuelewa. Wanawake hakupendi bila kuwa na value added. Au umzidi elimu, pesa, umri, hata cheo. Siyo wewe ni lecturer wakati yeye ni Prof. Ukiwa hivyo lazima upambane muwe sawa ila umzidi angalau publications. Unless yupo desperate na hana any option. Wanawake huwa wanatafuta social security kutoka kwa mume.
 
unaposema uwe smart vibaya mnoo unamaanisha nini? naomba ufafanuzi.
Nikujibu, mke wangu tulisoma wote degree ya pili hukoooo na pamoja mimi sikuwa nimetoka familia tajiri, ila nilikuwa nawabeba wote wazungu, wahindi etc.
 
Kwa hyo first gentleman wa taifa hana lake pale kwa madam prezda
 
Mwanzo nilijua wewe ni me, but anyway umeandika vizuri sana.. Na unaonekana upo very smart

Unakuta wanaume wengine wamezidi mfano hata kuua panya hawawezi wanataka wanawake zao ndio waue kisa 50-50 sasa hapo why usidharaurike.
 
Mwanzo nilijua wewe ni me, but anyway umeandika vizuri sana.. Na unaonekana upo very smart

Unakuta wanaume wengine wamezidi mfano hata kuua panya hawawezi wanataka wanawake zao ndio waue kisa 50-50 sasa hapo why usidharaurike.
Umepita mle mle..hata kubadili bulb ishu...argghh..mie ni mamaπŸ₯° shukrani mkuu
 
Umeamua kuja kuntangaza sio..sawa shemu
 
Mwamba umeongea point sana
 
Mm ujinga wa namna hii na dharau ningewasikia mm na mtoto hata hiyo shule haendi mm masikin jeuri
 
Huko kutaka kila kitu nivimbe naweza kukitatuaa ndio mtaolewa na kina Abdul Nsimbo mm sio askar sina connection yoyote na hao watu unaniambia mm nikusaidije ww malizana nao kininja labda tungekua wote muda huo
 
Inaendelea


Safar yangu ilibidi ni hairishe kidogo kutokana na hilo tatizo.Nilivyosikia kuwa mgonjwa angalau anaendelea vizur nili furahi.

Mwanzo wa mwezi wa saba niliamua kusepa Arusha sasa huku nyuma nikimuacha fundi simu ananizungusha kama mtoto wake sema nini kwa vile nilikua na simu sasa ckua na shida sana.

Wakati fundi simu ananizungusha me nae nilimzungusha weeee yule dogo mwenye simu mpk nikawa nimeondoka.


Kabla cjaendelea mbele...baada ya kuachana na yule mywangu ( nilimtukana, akawa tu ananipiga vijembe kwenye status )....nilipata manz mmoja kisu hatar tena muislamu yani kalikua kananipenda na kanapenda sex hatar, yaani hata nikiwa church kanatuma text kuwa ana nyege ko niende home kumtoa.

Huyu manzi mpya aibu ndo alikua hana alafu cha kushangaza mpk tunaachana alikua alijui jina langu zaid ya kuniita My....

Kwa vile nilikua nimejifunza kubalance shobo ( upendo ) kwenye mapenzi basi huyu akuniumiza kichwa kabisa. Nilimkuta ana bwana ake anafanya kazi Migration ( uhamiaji ).[emoji23][emoji23][emoji23] siku nilishika simu yake nilivyo seviwa sasa eti Grace nilimuuliza yani kakosa majina ya kuni save mpk ani save vile, kakaanza ooh...cjui mama ni mkali cjui ni na nini.....nilimuacha nilichokifanya cku hyo nilimwambia acheze basi hata nione mauno yake.

Alikatika tena akiwa mtupu na nili mrekodi video akiwa ana cheza nikaitunza Fb ( private ) ili cku akini zingua nimuonyeshe madudu yake.

Ilikua ni kama jojo kila akija nampiga picha za uchi nazitunza au na mrekodi ( haya yote alisababisha mywangu ) ko nilikua nafny hivi kuji defense na hawa wadada ( japo ni kosa )....sema nacho shukuru huyu manz hakuwai kuniomba hela kabisa.


Tokea mwezi wa kwanza mpaka mwezi wa tano niliamua nimuache huyo manzi japo nilianza kumwelewa ila niliepusha mengi ya mbeleni.




HOLY NDANI YA CHUGA (ARUSHA)



Siku ya jumamos nilienda church nikafanya ibaada pamoja na kuimba ya mwisho mwisho, Jumapili nikadandia basi kwenda chuga.Sikupita mbugani maana me hua sipendi kuwahi kufika napoenda.Ko nilipanda basi linalo pita bariadi.

Kwa vile ndo ilikua ni mara yangu ya kwanza kwenda Arusha basi kuna wenyeji walikua wananipokea huko ambao ndo walikua wanipeleka kiwandani.

Safari ilikua ndefu ( nilishazoea safar ndefu ) ko nilifika nilipoambiwa midaa ya saa nne usiku.Nilichukua toyo kunipeleka Matevesi ( nilishukia Kisongo ckufika Arusha mjini kabisa ).

Kipindi dereva toyo ananipeleka matevesi cjui alijuaje kuwa nimeenda kupiga kazi kiwandani akawa ana nipa ushaur sasa eti jilinde sana na wanawake wa A to Z.Alinambia kuwa wapo wa kila type me nilikua na muitikia tu eeh...ndio..sawa sawa..kweli kabisa.

Tulifika matevesi nilikuta wenyeji wangu wananisubir tulipokubaliana kukutana ( bajuta ).

Tulifika magheton kwao tukafahamiana, kesho asubui wao walienda kiwandani wakaniacha gheto mwenyewe na maelekezo walinipa.

Me nilikua najua kuwa nikifika Arusha ni moja kwa moja naanza kazi maana nilijua hao ambao wananipokea ni viongozi wa kiwandani ko me nafika na kazi juu [emoji23][emoji23] kumbe nilikua nifike nianze kupambana na mimi getini ilini chukuliwe.

Nilivyojua kuwa lazima nipambane mwenyew ili niweze kuingia kiwandani nilichukia sana nikawa nasema hata nisinge kuja Arusha tu, ningebaki zangu musoma ( Musoma niloona maisha ni rahisi sana ).

Ko siku hyo nilivyoachwa gheto mwenyewe alikuja jamaa mmoja yeye ni mwenyeji wa Mwanza so na yeye alikuja kupambana apate kazi.


Mfukoni nilikua nimebaki na kama 600k tu toka 1.2 million niliona ni kubwa sana.Ko jamaa alivyokuja pale midaa ya saa nne alinambia twende kiwandani nikapaone.

Kwa vile kiwandani walikua wana chukua wafanyakaz siku ya ijumaa ilibidi nisubir mpk ijumaa ifike......

Na pale kiwandani kuna totozi asee watoto wa kimbulu na makabila mengine walikua wakutosha afu wambulu sio wachoyo kabisa yani.Kwanza cku shobokea wanawake kabisa niliacha kwanza mpk nipate job na ni pange gheto langu ndo nitafute manz mmoja hata nioe [emoji4][emoji4]...

Ijumaa ilifika nikawai kiwandani na yule dogo wa mwanza tulikua nje ya geti tuna subiria HR waje waite watu.Kwenye saa tano hivi Ma HR walikuja wakaita watu nilishangaa asee watu walikua wengi hatari wanaotaka kazi mpk nikasema hapa ctoboi kabisa.

Na kweli cku toboa cku hyo, walianza wanawake kwanza kuchukuliwa alafu tukaja sisi wanaume.Nilivyokua kwenye mstar HR alikua anapita muda huo umetoa kitambulisho cha kupiga kula au cheti cha kuzaliwa ko hr anapokua anapita akikupenda anaangalia kitambulisho chako au cheti cha kuzaliwa kisha ana kwambia upite mbele.

Kipindi nipo kwnye mstari HR alikua anauliza kuna graduate wa vyuo humu, wakatoka mbele akasema tena kuna form six humu wakatoka mbele duh...nilisema kwanin ckwenda chuo jamani ona navyo aibika.Walivyomaliza kusema hvyo ndo wakaanza sasa kuchukua watu wengine.


Siki hyo sikuchukuliwa walitwambia tujarbu ijumaa inayokuja nilimchukua jamaa angu tukasepa kwanza hotelini kujipooza na msosi.

Huyo jamaa wa mwanza kitambulisho chake kilikua na kasoro kidogo maana pale walikua wanachukua mwisho 1999 sasa yeye kitambulisho chake kilikua kinasoma 2000 ilibid atafute mtu ambadilishie mwaka usome 1995, cku hyo tulitafuta sana kisongo nzima tukabahatisha kwa jamaa mmoja hivi, yeye alidai anawataalamu wake wanaweza hyo kazi.

Huyo jamaa tulie mpata alikua pia ni mfanyakaz wa kiwandani so hatukumtilia shaka lolote.Huyo jamaa alidai tumpe 30k amalize mchezo, kweli dogo alimpa akahaido kesho kazi itakua tayari.


Zilipita cku mbili dogo kitambulisho chake bado hakijaja ko walikua ni kama wamemtapeli pesa yake na kitambulisho juu.Siku ya ijumaa ilifika nikaenda getini tena wakanitema ko nilirud magheton..

Siku ya jumapili kwa vile ilikua ni Off kwa wale wenyeji wangu, tuliitumia hyo siku kumsaidia dogo apate kitambulisho chake na hela yake.

Tulimsaka huyo Jamaa kisongo karibu kisongo nzima ( maana kuna ndugu yake ndo alikus ana tu direct kwake.Tokea saa mbili mpk kufika saa nane ndo huyo tapeli alipatakina muda huo me na jamaa mmoja hivi tulishakata tamaa ko tukawa tunarud home.

Tulifika pale Kona ya kiwanda cha A to Z ndo wale waliobaki kumsaka huyo tapeli wakanipigia simu kuwa niendee wamempata mtuhumiwa.Tulichukua Toyo mpk kwa mtuhumiwa kwanza nilivyomuona huyo mtuhumiwa kwa mbali ilibid nicheke kabisa kuondoa huruma.


Nilifika wale majaama waliokua wamemkata wakanambia mtuhumiwa wako huyu hapo ( waliniuzia kesi ) kwa vile alkua hajapigwa bado ckumchelewesha kofi lilitua kwenye shavu lake kumchangamsha kwanza. Tapeli alilia kama mtoto mdogo nilikua namuuliza kitambulisha kiko wapi yeye anaomba msamaha tu.

Nilimpiga hovyo hovyo huyo tapeli mpk roho ikanisuta ( mbona mimi nae huwa nadhurumu watu ) tapeli alilia cku hyo akadai kitambulisho kipo ila hela hana kwa muda huo, akata atupeleke mageton kwake tuchukue kitanda ( just imagine 30k kwa kitanda [emoji23][emoji23] ), nilimchukulia simu kwanza wale wengine pia wakaanza kumpiga walimpiga mpk akatokea mzee mmoja akuulizia kuna nini pale.

Huyo mzee nae alivunga yeye ndo sheria anazijua sana ko alitutaka twende kwa mtendaji tukamalize kesi. nilisema ni fresh kama twende wakati huo namnyanyua tapeli.Tapeli alidai haend kwa mtendaji bila ya yule kwenda pamoja na sisi.

Mzee alikubali kwenda na sisi.Tulipofika kwa mtendaji huyo tapeli akatugeuzia kibao kuwa sisi ni wezi tumempiga na kumvunja mbavu ( akawa anajifanyisha kuwa kaumia ).Mtendaji alisema ko kama wamekumiza ndo umekuja kufia hapa ondoka hapa ukafike huko.

Ilikia raha sana mtendaji kutufukuza pale ofisini.Tulivyofika nje ikabidi tena nianze kumpiga kwanini aseme kuwa sisi ni wezi jamaa alilia mpk wananchi wakaanza kujaa pale.Wahuni sasa wa kisongo ndo walikua wanataka kumchoma moto jamaa walivyojua kuwa ni tapeli.

Nilivyoona nimempiga vya kutosha niliwaambia jamaa zangu tusepe walikubali, cku hyo kitambulisho dogo alikipata ikabaki hela yake.

Kama bahati cku hyo ilikua kwangu.Siku ya Jumatano nilienda Morombo kuwaona wadogo zangu hari zao zinaendeleaje, niliamua kulala huko maana Kulikua kuna ndugu yetu huko ndo aliwa hifadhi.Mama na Mzee pia walikuepo huko na wagonjwa.

Kesho yake Alihamisi niliamua kurud magheton nilipokua na kaa, kwa vile kuna daladala zinafika moja kwa moja mpk kiwandani niliamua kuzipanda hizo daldala.

Nilivyofika kuna kitu kilinambia hebu pitia pale kiwandani getini uzuge kidogo alafu ndo usepe magetoni.

Yani ile nafika tu pale getini ara HR akatokea kuita watu wanataka kazi niliingia kwa vile watu walikua wachache cku hyo tulichukuliwa wote.


Nitarejea tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…